Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hope kitatoka kitu cha maana, on April mambo yatakua bam bam

Uzuri Dar Beach ni nyingi, tutahamia Kawe beach, Mikadi, Kipepeo na zingine za Kigamboni....
Mwanzo wa kufufuka kwa Msasani Beach

Hii pia ni challenge kwa wenye Malls, coz siku za sikukuu siku hizi kunakua na nyomi sana za watu kwenye Malls za Dar kibaya ni kwamba Malls ziko chache af kingine we've no more open spaces for enjoyment

Mihogo ya Coco tutaipata wapi sijui
Ile mihogo ya coco sijui wanatumia uchawi gani kuikaanga ni mitamu balaa
 
Hapo kunajengwa bonge la Beaches mithili ya copacabana, nimeona features zake ni balaa, kutakuwa na waterparks kubwa za kutisha, restaurants, public showers, different sports complexes, parking za kutosha na facilities nyingi
Weka hapa na sisi tuione sema wasafishe ndani ya maji na kumwaga mchanga mweupe wasije jenga nje tu
 
Bogno Streaming
1568789815589.png
 
Yaani magreda yako site picha hata hawazitoi!
Uzembe pumbavuu sana sijui kama ni mainjinia wenye ujuzi wa fukwe za burudani au ni maijinia wa kuchimba makaburi maana tunataka hiyo fukwe isafishe hadi maukoko ndani ya maji na kumwagwa mchanga safi mweupe majini si vinginevyo
 
Weka hapa na sisi tuione sema wasafishe ndani ya maji na kumwaga mchanga mweupe wasije jenga nje tu
Ile unachimba mchanga baharini halafu una uleta nje, ile sehemu iliyo kua na majani kote kujae mchanga kama copa cabana. Hiyo machine Azam wanayo, ila miezi sita naona ni michache hapa lazima kazi ipigwe 24/7
 
Mm namuomba mueshimiwa magufuli anunue huzo mashime ili tuweke fukwe zetu zote vizuri hata zisizokuwa za kuogerea zitakate ndani ya maji pia wasisahau kusogeza baharini ardhi ili kupata nafasi ya kutosha kama mita 6 hivi
Ile unachimba mchanga baharini halafu una uleta nje, ile sehemu iliyo kua na majani kote kujae mchanga kama copa cabana. Hiyo machine Azam wanayo, ila miezi sita naona ni michache hapa lazima kazi ipigwe 24/7
 
I said that in reference to your own words that Nairobi was built by whites. If this narrative is true then they must have seen something in Nairobi that they didn't see in Dar or Kampala to make them dedicate their time and energy in "building" Nairobi. So please tell me, what did they see in Nairobi that made them "develop" it?
Loads of arse-lickers!😡
 
So what???!..you try to compare tandale to the world's class A slums,be careful young boy
Why the hell on earth would I compare Tandale, a midlle income estate in Dar, with a slum like kibera? Jeez!
 
Back
Top Bottom