Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lol........lack of exposure ni shida.In your thick head dar is a city...!...lol
The fact kuwa leo tunaitoa jasho nairobbery inaonyesha jinsi speed ya ukuaji wa Dar es salaam ilivyokuwa 5g. Miaka ya zamani wala hatukuwa kwenye map ya majiji bora zaidi Afrika lakini leo hii Dar ni the fastest growing city in the continent. Na kinara wa maendeleo. Japokuwa kuna mambo mbalimbali ya kukosoa lakini nampongeza Rais Magufuli na administration yake kwa kujitahidi kutekeleza masuala mbalimbali ya maendeleo . Watanzania, tuendelee kufanya kazi kwa bidii kwani mahala tulipo ni pazuri na tukikaza buti, tutafika mbali sana.
#Darmpya
#MakeTanzaniaGreatAgain



View attachment 1192874View attachment 1192875View attachment 1192876View attachment 1192877View attachment 1192878View attachment 1192880View attachment 1192881View attachment 1192882View attachment 1192883View attachment 1192884View attachment 1192886View attachment 1192887View attachment 1192889View attachment 1192890View attachment 1192891View attachment 1192892View attachment 1192893View attachment 1192897View attachment 1192910
 
Lakini nyie mnaonyesha upande mmoja tu wa Kariakoo. Zile picha mimi huona ni majumba ya mabati na hakuna gorofa na pia palipo gorofa unaona barabara chakavu bila lami na wachuuzi wamejaa barbarani.

This pic above is just a sanitized aerial view of the real Kariakoo .Majumba mengi hapa juu ni kama ya River rd Nairobi ambayo sio magorofa za kuvutia.
 
The fact kuwa leo tunaitoa jasho nairobbery inaonyesha jinsi speed ya ukuaji wa Dar es salaam ilivyokuwa 5g. Miaka ya zamani wala hatukuwa kwenye map ya majiji bora zaidi Afrika lakini leo hii Dar ni the fastest growing city in the continent. Na kinara wa maendeleo. Japokuwa kuna mambo mbalimbali ya kukosoa lakini nampongeza Rais Magufuli na administration yake kwa kujitahidi kutekeleza masuala mbalimbali ya maendeleo . Watanzania, tuendelee kufanya kazi kwa bidii kwani mahala tulipo ni pazuri na tukikaza buti, tutafika mbali sana.
#Darmpya
#MakeTanzaniaGreatAgain



View attachment 1192874View attachment 1192875View attachment 1192876View attachment 1192877View attachment 1192878View attachment 1192880View attachment 1192881View attachment 1192882View attachment 1192883View attachment 1192884View attachment 1192886View attachment 1192887View attachment 1192889View attachment 1192890View attachment 1192891View attachment 1192892View attachment 1192893View attachment 1192897View attachment 1192910
Dar es Salaam kweli imepiga hatua lakini haijatoa Nairobi jasho yoyote.Mambo mengi ya ubora wa jiji bado mpo mbali sana kuanzia makazi,magorofa za biashara kuu ,usafiri ,mabarabara ,mawasiliano ,uchumi ,biashara za kimataifa ,cheo cha jiji na ukuaji miundombinu.
Even with all that growth Dar still doesn't sniff the hot pants of "most dynamic cities" category kwahivyo niambie Dar imepiga Nairobi jasho gani?
 
Bro kama unajielewa ficha upumbavu.
Kumbuka nilikuuliza can a continent exist inside a continent??
A continent is defined as large land masses on the earth's surface, surrounded, or mainly surrounded, by sea, and usually consisting of various countries.

Kaka USA haina features za kuitwa continent.
Australia is surrounded by water bodies kumbuka kule juu nilikwambia.
Continent cannot exist inside continent acha ujuaji mwingi buddah!!!!!
USA iko kati ya Mexico na Canada hv kivp USA iwe continent ilhali ipo ndani ya continent???!!!
Kuwa na aibu mazeh.
Ila sikushangai we jamaa nakujua vema ati !!!
Uliwahi nambia kE watu hufa njaa cause ugali hamna wao wamezoea ugali lakn vingine vipo.

Ttttttt asee kuna mjinga na mpumbavu.
Bora unyamaze uonekane mjinga kutokana na kuwa hakuna asiye mjinga kila mtu ni mjinga wa kile asichokijua.
Kuliko kujifanya mjuaji ilhali huna ulijualo ukageuka kuwa mpumbavu.

We bro sitakaa nibishane na we mazeeh asee duh !!!!!!
I have never seen such a fool in my life, your level of stupidity is immeasurable,So according to you countries are the features of a Continent,so in other word African countries existed before the African Continent?You are so amusing,I gave you a simple definition of a Continent,I will still repeat the same definition here. A Continent is a large landmass of a continental crust that are found on the continental plates and partly separated by water. The only Continent that is fully separated by water is Australia,, Europe and Asia are not separated by water or sea in fact the two Continent share the same tectonic plates, Africa and Europe is not separated either ,the separation you see today is artificial not natural. You don't know features of a Continent? You call countries features of a Continent? So interesting, I guess you're never taught geography.
Features of a Continent are.

1.Mountains built.
2.Block - faulted basins and rift valley
3.Volcanic plateau
4.Volcanic belts.
5.Continental margins
6. Cratons-Shields and platforms
Don't quote to tell me that features of a Continent are countries,if you don't know ask fellow Tanzanians I want to believe that they're some who attended geography class and will be able to help you, stop this self embarrassment,mpo wajinga watatu hapa mnapigiana makofi mkikenua Meno Kwa kujiaibisha ,Muulizeni waliosomeshwa na mtasaidiwa Kwa kwelimishwa muache aibu ndogondogo .
 
Hii ndio elimu ya Kenya tunayoambiwa bora kutuliko!!!!!!!
Dah kaka we acha tuh!!!!
Yan hakuna jamaa anayeongeaga blunder km huyu mchizi!!!!
Namfaham vema ndio maana wala sitakagi mjadala nae mrefu.
Juzi kat alitoka kusema watu Turkana wamezoea ugali kwahyo ugali hamna hawajazoea vyakula vingine ndiomaana wafa njaa.
Halafu anajiita engineer huyu jamaa.
Kaaaz kweli kweli!!!!!!
Kama ulifunzwa countries ni features za Continent pia wewe unazungumza nini mbele ya watu? Heri ingemwaga chini angejiepusha hichi kilaza alichokileta duniani, total disgrace to the society.
 
I have never seen such a fool in my life, your level of stupidity is immeasurable,So according to you countries are the features of a Continent,so in other word African countries existed before the African Continent?You are so amusing,I gave you a simple definition of a Continent,I will still repeat the same definition here. A Continent is a large landmass of a continental crust that are found on the continental plates and partly separated by water. The only Continent that is fully separated by water is Australia,, Europe and Asia are not separated by water or sea in fact the two Continent share the same tectonic plates, Africa and Europe is not separated either ,the separation you see today is artificial not natural. You don't know features of a Continent? You call countries features of a Continent? So interesting, I guess you're never taught geography.
Features of a Continent are.

1.Mountains built.
2.Block - faulted basins and rift valley
3.Volcanic plateau
4.Volcanic belts.
5.Continental margins
6. Cratons-Shields and platforms
Don't quote to tell me that features of a Continent are countries,if you don't know ask fellow Tanzanians I want to believe that they're some who attended geography class and will be able to help you, stop this self embarrassment,mpo wajinga watatu hapa mnapigiana makofi mkikenua Meno Kwa kujiaibisha ,Muulizeni waliosomeshwa na mtasaidiwa Kwa kwelimishwa muache aibu ndogondogo .
Bro mm siwez nikaendesha mjadala na ww nakufaham fikka jinsi ulivyo.
Una mushkir ww aya endelea na ujinga wako .
 
I have never seen such a fool in my life, your level of stupidity is immeasurable,So according to you countries are the features of a Continent,so in other word African countries existed before the African Continent?You are so amusing,I gave you a simple definition of a Continent,I will still repeat the same definition here. A Continent is a large landmass of a continental crust that are found on the continental plates and partly separated by water. The only Continent that is fully separated by water is Australia,, Europe and Asia are not separated by water or sea in fact the two Continent share the same tectonic plates, Africa and Europe is not separated either ,the separation you see today is artificial not natural. You don't know features of a Continent? You call countries features of a Continent? So interesting, I guess you're never taught geography.
Features of a Continent are.

1.Mountains built.
2.Block - faulted basins and rift valley
3.Volcanic plateau
4.Volcanic belts.
5.Continental margins
6. Cratons-Shields and platforms
Don't quote to tell me that features of a Continent are countries,if you don't know ask fellow Tanzanians I want to believe that they're some who attended geography class and will be able to help you, stop this self embarrassment,mpo wajinga watatu hapa mnapigiana makofi mkikenua Meno Kwa kujiaibisha ,Muulizeni waliosomeshwa na mtasaidiwa Kwa kwelimishwa muache aibu ndogondogo .
Unaona ulivyo mgumu kuelewa???!!!!!
Wewe ndio maana nakwambia una matatizo!!!
Nimekuuliza North America ina nchi zaidi ya 10 ikiwemo Canada ,USA ,Mexico,Guatemala n.k n.k.
Nikakuuliza,USA ipo katikati ya Mexico and Canada in North America continent.
Can a continent exist inside a continent???!!!!
Mambo ya kusema nations sijui zilianza kabla ya continent ww umezitoa wapi ilhali sijasema???!!!!
Unasikitisha aisee pole sana.
Nataka jibu tu ya hlo swali.
 
Kama ulifunzwa countries ni features za Continent pia wewe unazungumza nini mbele ya watu? Heri ingemwaga chini angejiepusha hichi kilaza alichokileta duniani, total disgrace to the society.
Unajua kila mtu anakushangaa wewe kaka???!!!!
Hata wenzako wanakushangaaa!!!!!!
Poa endelea na much know yako.
 
Mombasa yenyewe imepiga darView attachment 1193058
Naona umeamua kutuonesha uchafu😆😆😆😆👇👇👇👇👇
ADC7EEB0-CBE6-4D8F-8C6B-18AC1893941E.jpeg
 
Lakini nyie mnaonyesha upande mmoja tu wa Kariakoo. Zile picha mimi huona ni majumba ya mabati na hakuna gorofa na pia palipo gorofa unaona barabara chakavu bila lami na wachuuzi wamejaa barbarani.

This pic above is just a sanitized aerial view of the real Kariakoo .Majumba mengi hapa juu ni kama ya River rd Nairobi ambayo sio magorofa za kuvutia.
Na hio haijafika hata robo ya kariakoo😆😆 tatizo lenu sindano ikiingia vyema hua munalia kama watoto wadogo😅😅😅
 
Dar es Salaam kweli imepiga hatua lakini haijatoa Nairobi jasho yoyote.Mambo mengi ya ubora wa jiji bado mpo mbali sana kuanzia makazi,magorofa za biashara kuu ,usafiri ,mabarabara ,mawasiliano ,uchumi ,biashara za kimataifa ,cheo cha jiji na ukuaji miundombinu.
Even with all that growth Dar still doesn't sniff the hot pants of "most dynamic cities" category kwahivyo niambie Dar imepiga Nairobi jasho gani?
Usafiri wa umma .mmepitwa mbali na bongo
 
Bro mm siwez nikaendesha mjadala na ww nakufaham fikka jinsi ulivyo.
Una mushkir ww aya endelea na ujinga wako .
Huwezi ukaendesha mjadala na Mimi because you are simply empty headed you know nothing, asking me if US can be called a Continent yet it's between Mexico and Canada does not make you a good debater , your debating skills are poor . first look at your definition of a Continent ? If you are my student I will give you a big [emoji777] , Greenland is also sorrounded by water, why isn't it a Continent? You tell me that US does not have features of a Continent yet you can not name even one, and you call yourself intellectual? You are so amusing [emoji23] Lmao.
 
Unaona ulivyo mgumu kuelewa???!!!!!
Wewe ndio maana nakwambia una matatizo!!!
Nimekuuliza North America ina nchi zaidi ya 10 ikiwemo Canada ,USA ,Mexico,Guatemala n.k n.k.
Nikakuuliza,USA ipo katikati ya Mexico and Canada in North America continent.
Can a continent exist inside a continent???!!!!
Mambo ya kusema nations sijui zilianza kabla ya continent ww umezitoa wapi ilhali sijasema???!!!!
Unasikitisha aisee pole sana.
Nataka jibu tu ya hlo swali.
Your definition of a Continent is what betrays your level of understanding,and saying that features of a Continent are not found in US, tell me those features that qualified north America to be called a Continent, where are they found? because they are not in the US according to you. Instead of going back to the books and quote what you're taught in class you are Googling a definition of a Continent and arguing with me based on that , and when pushed to the wall you start stammering because you don't have facts to support your argument beyond reasonable doubt.
 
Dar es Salaam kweli imepiga hatua lakini haijatoa Nairobi jasho yoyote.Mambo mengi ya ubora wa jiji bado mpo mbali sana kuanzia makazi,magorofa za biashara kuu ,usafiri ,mabarabara ,mawasiliano ,uchumi ,biashara za kimataifa ,cheo cha jiji na ukuaji miundombinu.
Even with all that growth Dar still doesn't sniff the hot pants of "most dynamic cities" category kwahivyo niambie Dar imepiga Nairobi jasho gani?
Unaelewa maana ya Growth? I think unadhani kuwa growth ninayoongelea ni population wise. Na ndio, population inakua fast DSM, lakini iko parallel na maendeleo. Akili zenu ziko fixed kuwa siku zote mko mbele yetu lakini siku baada ya siku tunawaprove wrong. Eti mmetuzidi maghorora, unajua huwa mnanichekesha sana! maghorofa yanaisaidia nini nairobi zaidi ya kujaza foreign workers? kwasababu bado mnatumia matatu kwenda kazini, bado pesa zenu zinaliwa na viongozi wanaotoa ushuzi bingeni kila siku, bado mna slums kama zote , niendelee? Lakini down south tumepiga hatua, tunajitahidi kuhudumia wananchi wetu kadri tuwezavyo, tunapambana na rushwa, tunafanya vitu kwa pesa zetu, what do you have?
 
Back
Top Bottom