Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ushawahi muona mchina akizungumza ovyo na kukidharau kichina? Jibu ni hapana,
[emoji23][emoji23][emoji23] lakini ninyi mnajikuta ati kuongea kiinglish ni sign of intelligence alafu mnadharau wanaozungumza lugha zao za kiafrica ni wajinga fulani [emoji23][emoji23][emoji23]
Btw hao wachina hawaongei kiinglish lakini mbona wanawapapasa kila kona.
Not a sign of intelligence but understanding the language is key, even the Chinese are learning it fast, currently we have thousands of English speaking Africans teaching the chinese the queens language in china
 
so kisa bwana zenu wachina wanajifunza kizungu na wew unakazana kukijua kiingereza?! plz stop this nonsense .. sio lazima ukijue kiingereza, kama wew unakijua usiwe mjinga kiasi unawadhihaki wasiokijua!
Watanzania hudhihaki Kenya kila siku tena wanatumia vitu mbaya sana ati njaa na vifo kutokana na shambulizi za alshabab.Nyie mnajifanya sana ati "Tz nchi ya amani" kumbe pale ndani hamna utu.
 
Not a sign of intelligence but understanding the language is key, even the Chinese are learning it fast, currently we have thousands of English speaking Africans teaching the chinese the queens language in china
So mzungu amekutengenezea ajira ya kufundisha kiingereza duniani. Mzungu ana akili sana
 
so kisa bwana zenu wachina wanajifunza kizungu na wew unakazana kukijua kiingereza?! plz stop this nonsense .. sio lazima ukijue kiingereza, kama wew unakijua usiwe mjinga kiasi unawadhihaki wasiokijua!
😁 Wazungu wanamtumia kusambaza culture yao badala ya kusambaza ya kwake, mzungu hakosagi njia ya kukutumikisha
 
Ushawahi muona mchina akizungumza ovyo na kukidharau kichina? Jibu ni hapana,
[emoji23][emoji23][emoji23] lakini ninyi mnajikuta ati kuongea kiinglish ni sign of intelligence alafu mnadharau wanaozungumza lugha zao za kiafrica ni wajinga fulani [emoji23][emoji23][emoji23]
Btw hao wachina hawaongei kiinglish lakini mbona wanawapapasa kila kona.
😛 Hawa nyumbu wanapoongea kiingereza hata kama wana njaa wanashiba
 
Tangu lini nyani mkaona kundule.
Watanzania hudhihaki Kenya kila siku tena wanatumia vitu mbaya sana ati njaa na vifo kutokana na shambulizi za alshabab.Nyie mnajifanya sana ati "Tz nchi ya amani" kumbe pale ndani hamna utu.
 
Ukitaka kujijua ww huelewi unachokisoma ndio hapo Unanichekesha mm.
Nimetaja features mbili kazirudie toka post ya kwanza naanza bishana nawe.
Still bado huelewi nimekuuliza hv USA iko kat ya MEXICO NA CANADA.
JE A CONTINENT CAN EXIST INSIDE A CONTINENT???!!!
UNAELEWA WW????
DUNDER HEAD.
Usinifananishe na ww buddah.
Yani kuna Kenyans ni intelligents hufurahia kufanya nao debate ila sio ww kilaza kuna kennedy,Nexcie,kafrican,komora,Bwana 254 hawa wana nawa appreciate wanajielewa.
Yan ww huelewi ht unaloulizwa we si kichaaa eti???!!!!!
Greenland kwa land mass yake utaiitaje continent????
Bas ht Madagascar tuiite pia.
Fool you BYE
As a dog returns to his vomit,so a fool repeats his folly, Continents are not grouped entirely based on the land mass ,but based on what is beneath, Greenland is not a Continent because it shares the same Continental crust and continental plates with that of the North America tectonic plates, while Australia has got its own tectonic plates. Am done with you fool.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Watanzania hudhihaki Kenya kila siku tena wanatumia vitu mbaya sana ati njaa na vifo kutokana na shambulizi za alshabab.Nyie mnajifanya sana ati "Tz nchi ya amani" kumbe pale ndani hamna utu.
Tuliwadhihaki kuhusu al-shabaab lini? na sisi hatuwadhihaki ila tunawaambia ukweli kuhusu njaa.
 
A fool again claiming to know.
The definition tells that a continent is a large land mass surrounded of water comprising of countries.
USA made by uniting some of the North America countries.
But there was no a continent called USA.
But the nation usa made by uniting some of the North America countries.
May be you will understand me.
A continent is free in space or may share border with other continent but not existing inside other continent.
USA is between MEXICO AND CANADA INSIDE NORTH AMERICA CONTINENT AND STILL YOU CALL IT CONTINENT.
Fool you.
A little learning is dangerous thing.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom