Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwenye nchi zinazojielewa real estate companies wanajenga wanauza na kupangisha sasa hapo ni option ya mteja usilete visingizio
Tzn watu wanaoweza afford kununua nyumba ni wachache sana na ndio hao wanakimbilia kujenga dream house za ajabu ajabu mbaya zaidi those dream houses are built shaghalabaghala as the result slums kila kona
Nataka kuuliza,je dream houses za Tzn hazifai kujengwa kwenye well planned and properly organised plots?
master plan iliwekwa mifukoni kwasasa ndio inafanya kazi
 
Kwenye nchi zinazojielewa real estate companies wanajenga wanauza na kupangisha sasa hapo ni option ya mteja usilete visingizio
Tzn watu wanaoweza afford kununua nyumba ni wachache sana na ndio hao wanakimbilia kujenga dream house za ajabu ajabu mbaya zaidi those dream houses are built shaghalabaghala as the result slums kila kona
Nataka kuuliza,je dream houses za Tzn hazifai kujengwa kwenye well planned and properly organised plots?
Serikali inafeli hapo tu na hata mm hua nashindwa kuelewa apo wanakwama wap
 
Kwenye nchi zinazojielewa real estate companies wanajenga wanauza na kupangisha sasa hapo ni option ya mteja usilete visingizio
Tzn watu wanaoweza afford kununua nyumba ni wachache sana na ndio hao wanakimbilia kujenga dream house za ajabu ajabu mbaya zaidi those dream houses are built shaghalabaghala as the result slums kila kona
Nataka kuuliza,je dream houses za Tzn hazifai kujengwa kwenye well planned and properly organised plots?
inaonekana kama shule ulikuwa unanunua madarasa ndio maana ujui maana ya slum
 
we r building a 6th after Kurasini n Tazara, now Ubungo, Koko beach, Ocean road n Gerezani! do a research.
This one is U/C in Arusha
road06.jpg

Flyover nyingine inajengwa vingunguti,kiembembuzi now wameeka x kwa nyumba zinazobomolewa
 
I don't see anything wrong with what NDINDA wrote. Is it because he said that you are ahead of us in real estate or something like that? bitch, you are sick in the head. Anasuggest ununuzi wa nyumba zilizojengwa tayari kwasababu watanzania wengi hujenga nyumba zao wenyewe na hii haina maana kuwa mmetutangulia katika real estate. By the way, Dar's real estate market is worth around $12 bn whilst nairobi's is $9 bn. Unaona ulivyo mjinga wa akili? kama nilivyowahi kukwambia mwanzo, comment unazopost ni za watu ambao hawana exposure na ninashukuru Mungu kuwepo kwa hii thread na ina views nyingi ikimaanisha kuwa watu wote duniani wanaona na hii ndio njia ya kusafisha uchafu wote ambao watu wamekuwa nao akilini mwao. On that note, bring it on, we are fully committed to the cause.

Wakenya wengi ni wajinga wajinga,wachache tu ndo wanaojielewa

Nixcie and komora are the bombs
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] almaarufu middle income dream house?
Mimi pia Niko Tzn na Nina dream house lakini nimejenga kwenye planned plots,jibu swali langu hapo juu
Swali lip ww umeuliza.
Dream house wafananisha na nyumb za mabati za kibera???!!!!!
 
Pole kwa kukariri mpendwa maana Dar inarekebishwa taratibu taratibu hujatembea wilaya ya Kigambon ukaona pia.
We all know Kigamboni ni moja ya mitaa za wadosi Dar so let's not even go there.Ni Kama tu Karen au Runda hapa Nairobi ( according to Tanzanian standards that is, because kigamboni haiwezi nusa any high-end estate in nrb). Nairobi is not not a world-class city of course but ukweli ni kwamba mitaa nyingi za Nairobi zimepangwa vizuri, sio tu mitaa za wadosi kama inavyofanyika huko Dar. That's one of the major differences between Dar and Nairobi
 
Back
Top Bottom