Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1189164
Waganda wameshawatupia mbali kama hawawajui vile
1566667185155.png
 
Hii inaonesha dhwahiri corruption inaitafuna hili taifa.
YAN HIYO DARAJA YA KUJENGWA NA MAFUNDI TU WA KAWAIDA LINA COST $12 MILLIONS ?????????
AAAAH JAMAANIII YAN BAYA HALAFU BOVU.
KENHA MY DEAR ONES MTAJIMALIZA KWA CORRUPTION.
Kwanza daraja lenyewe lilikuwa kama sijui halijaisha? baya ka nini. Yaani na kwa dharau zaidi, wakaona lami wasiweke ya kuendeleza barabara. Aliyeiroga kenya alitupa funguo baharini kwakweli. Viongozi wengi wa kenya wanajali matumbo yao na kujamba bungeni tu. Sio maslahi ya wananchi.
 
This is a polite reminder that you should shut the hell up!!
View attachment 1189215
I don't see anything wrong with what NDINDA wrote. Is it because he said that you are ahead of us in real estate or something like that? bitch, you are sick in the head. Anasuggest ununuzi wa nyumba zilizojengwa tayari kwasababu watanzania wengi hujenga nyumba zao wenyewe na hii haina maana kuwa mmetutangulia katika real estate. By the way, Dar's real estate market is worth around $12 bn whilst nairobi's is $9 bn. Unaona ulivyo mjinga wa akili? kama nilivyowahi kukwambia mwanzo, comment unazopost ni za watu ambao hawana exposure na ninashukuru Mungu kuwepo kwa hii thread na ina views nyingi ikimaanisha kuwa watu wote duniani wanaona na hii ndio njia ya kusafisha uchafu wote ambao watu wamekuwa nao akilini mwao. On that note, bring it on, we are fully committed to the cause.
 
Off the topic but burudani kidogo for those Taylor Swift fans, this is a killer song cuz i'm officially obsessed 😭😭

 
Back
Top Bottom