Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tukiwambia Dar ina towers tatu mnakataView attachment 1188427
Hii tower iko km 8 kutoka cbd,hapo nairobbery meter 300 toka cbd unaanzaa kukutana na slums za maana
tapatalk_1551712362938.jpeg
 
Like seriously!!!!?

Ama kweli huijui Dar, uliza hata wakenya wenzako waliowahi kufika Dar wakuambie kama CBD ya Dar (Posta included) kuna kitu kama hicho [emoji16][emoji16]

Posta is another world kwa Dar imejitenga kweli kweli from those areas you want to show

Kisa Kibera ipo karibu na CBD ndo unataka kufananisha na Posta kwamba ipo karibu na those houses!!!? [emoji16] umechelewa bro
Uko mwepesi sana kukana huo uchafu haiko karibu na cbd yenu ilhali unaamini kibera iko karibu aa upper hill na pengine hata haijawahi kanyaga Nairobi! Wewe pia Uliza Watanzania wenzako waliowahi kufika Nairobi watakuambia ukweli. Pia unaweza Ingia google earth ujiangalilie mwenyewe. There's a way picha inawezapigwa katika angle fulani sehemu mbili zionekane zimekaribiana ila in real sense ziko mbali sana. It is called photography. Below are Google images of kibera. See for yourself how far it is from upperhil
kibera-nairobi-type.gif
Screenshot_20190801-150012.png
PhotoGrid_1566616110214.jpg
 
Uko mwepesi sana kukana huo uchafu haiko karibu na cbd yenu ilhali unaamini kibera iko karibu aa upper hill na pengine hata haijawahi kanyaga Nairobi! Wewe pia Uliza Watanzania wenzako waliowahi kufika Nairobi watakuambia ukweli. Pia unaweza Ingia google earth ujiangalilie mwenyewe. There's a way picha inawezapigwa katika angle fulani sehemu mbili zionekane zimekaribiana ila in real sense ziko mbali sana. It is called photography. Below are Google images of kibera. See for yourself how far it is from upperhil
View attachment 1188687View attachment 1188688View attachment 1188691
Nbo slum ni kibera tu?
 
Hii ndio Dar halisia a mish mash of unplanned developments wacha wasikudanganye . Nimeziona posts nyingi sana za watanzania hapa JF wakilalama kwamba Dar haina mipango na nyumba zinajengwa kiholela .
Baadhi ya hizo posts zao ndio hizi hapa. At least hawa hawajapumbazwa na uzalendo za kijinga
Screenshot_20190731-155642.png
Screenshot_20190731-112625.png
Screenshot_20190731-155836.png
Screenshot_20190731-111614.png
Screenshot_20190731-110558.png
Screenshot_20190731-111422.png
 
It's merely one month and already mshashindwa kulipa Kodi. Will ATCL manage to compete with KQ and Ethiopian airline? [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom