instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,602
- 19,782
Acha tutawaua aisee.
Halafu Niko mwanza kunajengwa bonge la chelezo Kwa ajili ya ujenzi wa bonge la Meli
Mwache magu aitwe magu
Acha tutawaua aisee.
Hahahaahahahahahha Kenyans mnajifanya mnajua kumbe wakariri tu.First, huwezi nifundisha kizungu. Ingekuwa unajua kizungu sana haungekuwa na shida ya kuelewa interchangeably ina maana gani. Secondly, unaposema nyumba za kigamboni haziijengwa kwa ubora unamaanisha nini? Ubora wa nyumba ni nini kwako? Hiyo ubora wa nyumba unayotaja ni moja ya vitu ambazo zinachangia eneo kuwa unplanned. Like I told you earlier, planning entails so many things
Hiv kweli huo ni udongo mwekundu?Nasikianga Dar hakuna udongo mwekundu. Maajabu haya...Rafiki yangu ichoboy uko wapi?
Hahahaahahahahahha Kenyans mnajifanya mnajua kumbe wakariri tu.
Umesoma nilichokuandikia vema???
Kweli kuna tofauti ya kusoma na kuelewa.
Ww hukuelewa umesoma tyuuu.
Nakuelezea for the last time bro,hakuna mahali nimekuelezea kuwa nyumba za kigambon hazina ubora.
Bali nimekuelezea kuwa kigambon kuna nyumba NZURI zenye UBORA kubwa safi ila hazijajengwa kimpangilio.
Yani zimekaa kimafungu mafungu.Zina maji safi,umeme, fence kila kitu.Je nazo hizo ni slums???!!!!!!!
Wapi unakwama broooooo!!!!!!!???
Hahahahahahaahhahhahaahahahhahaha daaah nimeamin hawa jamaa ni buree kabbisa hakuna lolote dhidi ya ukariri tu wa mambo pasi na kuchanganua wanayokaririshwa.Baba kumuelezea mkenya ni kama kukinga maji kwa kutumia net
Hizo jamaa ziko na bichwa ngumu haijawahi tokea..
Usifundishwe kivipi kwan ulizaliwa unakijua au????? Au unafkiri kujua kiingereza basi ndio msomi au???😆😆😆😆First, huwezi nifundisha kizungu. Ingekuwa unajua kizungu sana haungekuwa na shida ya kuelewa interchangeably ina maana gani. Secondly, unaposema nyumba za kigamboni haziijengwa kwa ubora unamaanisha nini? Ubora wa nyumba ni nini kwako? Hiyo ubora wa nyumba unayotaja ni moja ya vitu ambazo zinachangia eneo kuwa unplanned. Like I told you earlier, planning entails so many things
Namshangaa kaka.Usifundishwe kivipi kwan ulizaliwa unakijua au????? Au unafkiri kujua kiingereza basi ndio msomi au???[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
😆😆😆😆 wazoee tuNamshangaa kaka.
Yan vitu ndogo ameshindwa vinga'mua akavibeba kwa ukariri na kuvibwaga pwaa eti kisa anajua kiingereza.
Usifundishwe kivipi kwan ulizaliwa unakijua au????? Au unafkiri kujua kiingereza basi ndio msomi au???[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kama ingekua hvo basi english ingeeatoa kwenye makazi ya nguruwe😂😂😂Wanadhani ukiongea kingereza ndo unakua na intelligence kubwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama ingekua hvo basi english ingeeatoa kwenye makazi ya nguruwe[emoji23][emoji23][emoji23]
naomba niulize, huyo mama ni mtanzania?
Sasa kama hujui hio ni kaz yangu mm kukujuza kvpHizo mitaa duni za Dar munaziitaje? Na hizo mitaa duni ziko afadhali kushinda hadi za Parisama hata Cairo? Dar ni moja ya miji nuhimu Africa kivipi sasa? [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mbona hapa umeingiza ushabiki?
Labda nimuulize huyu eti Nairobi kuna slum ngapi na Kenya yote INA slum ngapi Leo Mombasa imegunduliwa slum Mpya inaitwa BANGLADESHI SLUM jamani Kenya watu wote wanaishi kwa slum!!!!??? Nakingereza kingi kumbe bure kabisaIta na tuta zenu tumezizoea hapa.
We nyani ondoka hapo Uhuru park kwa WiFi ya bure ukalale kwa slum au unalala kwa box hapo Uhuru parkAnd you forget Dar is one mega slum
Wee acha kujitetea kusema kiingereza hapa mimi nazungumzia vigezo ulivyovipost kuhusu unplanned settlements vinathibitisha kuwa kumbe hizo nyumba za watu wa hali ya chini Dar ni bora zaidi ya unplanned settlements, post yako imezungumzia basic services na madirisha usilete excuses za kiingereza hapa. Na kwa post yako hizo nyumba hatutaziita tena unplanned bali tutaziita nyumba za watu wa hali ya chini maana hawajakosa basic services na madirisha. So buda nenda ukagoogle tena uje na indicators za kutosha kwa sehemu kuitwa slums or unplanned settlementsNajua mtanzania na kiingereza haziendaniila jaribu uelewa hata Kama ni kidogo. Google pia iko inaweza kukusaidia. Hiyo picha ya ichoboy unasema the two words are used INTERCHANGEABLY.