Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
taabu iko pale pale.Ako mama mbogs saa hii![]()
taabu iko pale pale.Ako mama mbogs saa hii![]()
Kumbe ulishahama Mwananyamala? Siku hizi unasukumka gurudumu ya LDC ukiwa maeneo yepi? Ulihamia Gongo la mboto, Tandale au Mazense?Sikai mwananyamala.
Hizo shilingi mbili ambazo huna, unategea jioni ifike ufate Wi-Fi uhuru park
Better in which way wakati nusu yenu mnaishi below poverty line? Ni nini bora hapo bongo mbali na kupiga makofi na kusifia sisiemu?Nilishawah kuhamia kwani,
Ldc ambayo ni better kuliko mldc kenyaHiyo tandale na manzese ni better kuliko mldc yenu
Kumbe ulishahama Mwananyamala? Siku hizi unasukumka gurudumu ya LDC ukiwa maeneo yepi? Ulihamia Gongo la mboto, Tandale au Mazense?
Better in which way wakati nusu yenu mnaishi below poverty line? Ni nini bora hapo bongo mbali na kupiga makofi na kusifia sisiemu?
Niko hapa Mwananyamala mbele ya dream house yako. Nimekuja kukujulia hali na kukupa pole zangu kutokana na hali ngumu ya uldcNa wewe mwenzetu sasa hivi uko pande zipi? Kibera, Mathare, Huruma, Kawangware? au una property zaidi ya moja kwenye haya maeneo?
The port launch was today snubbed by EAC leaders!
![]()
Nation - Breaking News, Kenya, Africa, Politics, Business, Sports | HOME
Nation.Africa brings the Latest News from Kenya, Africa and the World. Get live news and latest stories from Politics, Business, Technology, Sports and more.www.nation.co.ke


wacha niishie hapa
Niko hapa Mwananyamala mbele ya dream house yako. Nimekuja kukujulia hali na kukupa pole zangu kutokana na hali ngumu ya uldc
Jipe moyo. Hatuna maisha magumu kama uliyonayo wewe. Usidhani kuwa natumia free wifi ya university campus kama wewe. Unanuka utoto bado nafikiriNiko hapa Mwananyamala mbele ya dream house yako. Nimekuja kukujulia hali na kukupa pole zangu kutokana na hali ngumu ya uldc
Kuna wakenya wanaishi kwenye maboksi, yaani literally. Unajua hao nyumbu waache ushabiki, kuna ile mbuzi inatukana unplanned settlements za Dar, na watu waishio humo wana nyumba za matofali na milango ya mbao na madirisha mazuri tu ila wakenya waishio kwenye sehemu hizohizo wanaoishi kwenye maboksi tena nyumba nyingine ni za mabati. Joto la October-december likija, hehehehehe........Masikini wa Tanzania ana food, clothing, shelter etc meanwhile in kenyawacha niishie hapa
Kuna wakenya wanaishi kwenye maboksi, yaani literally. Unajua hao nyumbu waache ushabiki, kuna ile mbuzi inatukana unplanned settlements za Dar, na watu waishio humo wana nyumba za matofali na milango ya mbao na madirisha mazuri tu ila wakenya waishio kwenye sehemu hizohizo wanaoishi kwenye maboksi tena nyumba nyingine ni za mabati. Joto la October-december likija, hehehehehe........
Rembesha ndani ya dream house pole pole kijana, wachana na stress mingi.Jipe moyo. Hatuna maisha magumu kama uliyonayo wewe. Usidhani kuwa natumia free wifi ya university campus kama wewe. Unanuka utoto bado nafikiri
Inasikitisha sana, I feel sorry for you. Unajitia ukichaa ila hali yako unaifahamu. Usiige maisha na usimdhihaki mtu ambaye hujawahi hata kukutana naye uso kwa uso. Kijana wa kiafrika unakaa kupiga zogo kutoa maneno ya kitoto kwa watu usiowajua wakati vijana wenye akili wakifikiri kesho wanaanzisha miradi gani, kesho wazalishe kitu gani ili tu wapate pesa. Nimeishi na vijana wa kizungu na bado ninaishi nao na inasikitisha sana jinsi vijana wakiafrika kama wewe walivyojaa upuuzi vichwani mwao. Endelea kuwa masikini mpaka domo liwe kubwa kama pipa lakini, YOU CHOOSE YOUR OWN FATE.Rembesha ndani ya dream house pole pole kijana, wachana na stress mingi.
Stop sugarcoating it kijana wa tandale. Just call it a spade, not a big spoonKuna wakenya wanaishi kwenye maboksi, yaani literally. Unajua hao nyumbu waache ushabiki, kuna ile mbuzi inatukana unplanned settlements za Dar, na watu waishio humo wana nyumba za matofali na milango ya mbao na madirisha mazuri tu ila wakenya waishio kwenye sehemu hizohizo wanaoishi kwenye maboksi tena nyumba nyingine ni za mabati. Joto la October-december likija, hehehehehe........
Ujumbe wangu umeupata. Hicho kiingereza unachojifanya unanifundisha ndio lugha yangu ya kwanza kuzungumza. Kawafundishe illiterates wenzako, they need help asap.Stop sugarcoating it kijana wa tandale. Just call it a spade, not a big spoon
View attachment 1182257View attachment 1182258
I just like how you get emotional when hit hard by facts, facts that you don't want to be told. All of a sudden, you've become a saint, a philanthropist, a motivational speaker, a doer of deeds etcetera etcetera. Blah blah blah!! I don't give a damn, go tell that to the birds of the air. I don't wanna know how many projects you are going to launch tomorrow, next week or even next year, keep that to yourself. It's none of my business coz it doesn't any value to me. We use dummy names here so why do you want me to reveal so much about myself and the things am planning to do? That's as stupid as it is laughable. Oooh,...they say empty debes make the most noise. Adios!Inasikitisha sana, I feel sorry for you. Unajitia ukichaa ila hali yako unaifahamu. Usiige maisha na usimdhihaki mtu ambaye hujawahi hata kukutana naye uso kwa uso. Kijana wa kiafrika unakaa kupiga zogo kutoa maneno ya kitoto kwa watu usiowajua wakati vijana wenye akili wakifikiri kesho wanaanzisha miradi gani, kesho wazalishe kitu gani ili tu wapate pesa. Nimeishi na vijana wa kizungu na bado ninaishi nao na inasikitisha sana jinsi vijana wakiafrika kama wewe walivyojaa upuuzi vichwani mwao. Endelea kuwa masikini mpaka domo liwe kubwa kama pipa lakini, YOU CHOOSE YOUR OWN FATE.
Yeah, that's what I thought, A f**king psycho! Eti I get emotional, Lemme tell you somethin' it doesn't hurt me to advice anyone. In fact, I have helped many people from students, to friends,to couples, to teachers, you name it who today, thank me because I dedicated my time to advice them. I am not forcing you to do as I want, It just hurts me to see a few of our own at the top! We hata ukinitukana, kazi kwako, mimi hata sihangaiki kwasababu hata kama sikufahamu bado nakuzidi pesa, akili, juhudi, hadi dhambi nakuzidi wewe. Jipe moyo kwa ujinga ulionao.I just like how you get emotional when hit hard by facts, facts that you don't want to be told. All of a sudden, you've become a saint, a philanthropist, a motivational speaker, a doer of deeds etcetera etcetera. Blah blah blah!! I don't give a damn, go tell that to the birds of the air. I don't wanna know how many projects you are going to launch tomorrow, next week or even next year, keep that to yourself. It's none of my business coz it doesn't any value to me. We use dummy names here so why do you want me to reveal so much about myself and the things am planning to do? That's as stupid as it is laughable. Oooh,...they say empty debes make the most noise. Adios!













nai be like: Dar, gimme a break!
Dar:![]()
View attachment 1179346
View attachment 1179342View attachment 1179344
Vumilia kwa maumivu💉💉💉💉😅😅Hii linganisha na Kileleshwa.
Keep your piece of advice to your self coz I think you need it more than I do. And for the record, I am not a student, I am not your friend (definitely am not) and I am not a teacher. So it's crystal clear I don't fall in the group of people you excell in offering pieces of advice to so please don't dedicate your time on me. Kama hungaiki nami, then why do you give the damn f**k about what I say here? About wewe kunizidi hizo vitu uluzotaja hapo juu, I still remind you that people use dummy names and accounts here so you don't have the slightest idea of who I am so I won't even go thereYeah, that's what I thought, A f**king psycho! Eti I get emotional, Lemme tell you somethin' it doesn't hurt me to advice anyone. In fact, I have helped many people from students, to friends,to couples, to teachers, you name it who today, thank me because I dedicated my time to advice them. I am not forcing you to do as I want, It just hurts me to see a few of our own at the top! We hata ukinitukana, kazi kwako, mimi hata sihangaiki kwasababu hata kama sikufahamu bado nakuzidi pesa, akili, juhudi, hadi dhambi nakuzidi wewe. Jipe moyo kwa ujinga ulionao.
Yes ni tatizo kubwa sana tena😆😆😆Delay in completion is the reason.