Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The New Mwanza City Shopping Centre under City Council ownership, hivi Wakenya mna any public markets kweli?
Screenshot_2019-08-16-09-00-21.png
 
Tunawapumulia kichogoni hakuna sehemu mutatoka salama kwa sasa[emoji38][emoji38][emoji38] tourism tumewafyeka, logistic tunawapumulia, airline tumewakalisha kuti kavu[emoji28][emoji28] kwenye medical tumewalaza chali, ukija kwenye ufisadi na rushwatunawanyea kichwani, food security ndio hata haisemeki sijui nani aliwalaani ukija kwenye security wise sijui wapi mulikwama[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847] ukirudi kwenye slums mpaka mzungu anawaogopa alijua kibera ni national park[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umempa za uso kweli kweli.
 
Back
Top Bottom