Hapo ndio mwisho wa akili yakoHahaha ,hii LDC yenu kila kitu kinajengwa "kwa pesa zetu za ndani" . Nyie watu upuuzi wenyu hauishi its like the universe it has no end. Manzese ,Mburahati ,Tandale na slums zingine Dar es Salaam also need a tour from your ambassadors.
I hear you call it twin tower
Wakenya bisheni na hili😆😆👇👇
Hii linganisha na Kileleshwa.Upanga hebu jitathmini kwa akili zako za kuzaliwa![]()
View attachment 1181985View attachment 1181986View attachment 1181987View attachment 1181988View attachment 1181989View attachment 1181990View attachment 1181991View attachment 1181992View attachment 1181993View attachment 1181994View attachment 1181995View attachment 1181996View attachment 1181997


The three most profitable banks in Tanzania didn't even make a half of that profit combined. Lakini wanavopiga kelele hapa ndani!!!
Wewe hapo Mwananyamala kwa kopa unafaidika na nini hizo shilingi mbili benki zenu zinatengenza kama faida?Meanwhile ninyi wananchi wa kawaida hamfaidiki na chochote zaidi ya kusifia tu![]()
Wewe hapo Mwananyamala kwa kopa unafaidika na nini hizo shilingi mbili benki zenu zinatengenza kama faida?
Kumbe ulishahama Mwananyamala? Siku hizi unasukumka gurudumu ya LDC ukiwa maeneo yepi? Ulihamia Gongo la mboto, Tandale au Mazense?Sikai mwananyamala.
Hizo shilingi mbili ambazo huna, unategea jioni ifike ufate Wi-Fi uhuru park


Hiyo tandale na manzese ni better kuliko mldc yenu
Kumbe ulishahama Mwananyamala? Siku hizi unasukumka gurudumu ya LDC ukiwa maeneo yepi? Ulihamia Gongo la mboto, Tandale au Mazense?
Na wewe mwenzetu sasa hivi uko pande zipi? Kibera, Mathare, Huruma, Kawangware? au una property zaidi ya moja kwenye haya maeneo?Kumbe ulishahama Mwananyamala? Siku hizi unasukumka gurudumu ya LDC ukiwa maeneo yepi? Ulihamia Gongo la mboto, Tandale au Mazense?


Na wewe mwenzetu sasa hivi uko pande zipi? Kibera, Mathare, Huruma, Kawangware? au una property zaidi ya moja kwenye haya maeneo?