Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

It is not blur, Just wanted to capture a larger area. And by the way, you can't buy me anything, labda hiyo pesa uwapelekee wale omaomba wenu kule maeneo ya Tom Mboya Street, watakushuru sana.
But since you wanted closer images, furahisha macho hapa kisha enda mupange mitaa zanu
View attachment 1178987View attachment 1178990View attachment 1178992View attachment 1178994View attachment 1178996View attachment 1178999View attachment 1179001View attachment 1179005View attachment 1179007View attachment 1179009View attachment 1179010View attachment 1179020View attachment 1179025
Yaani wewe kama nisemavyo kila siku, ni boga tena boga la Halloween ambalo wametoa vitu vyote, liko empty. Unavyopost hizo google map screenshots wakati chini ndio panaonekana hivi sijui unataka kumfool nani? I bet unaishi hapa
a84c8c958bdf7bfa4ffe495526e959cb.jpg
 
Wacha kujifanya Wewe ni mjuaji. Some of us are masters in this game. To begin with that is not Huruma but Mathare which everyone knows is a slum. Secondly when you are doing your search with the word 'slum' being your keyword, it just shows how you are trying so hard to prove a point. Just to remind you that this is another image of the same location (Mathare) you posted as Huruma and the real image of Huruma
View attachment 1178944
And this is Huruma, better than anything called "middle income estate" in Dar is slum View attachment 1178949

How many slums in nairobi???...

Sikujua kama kuna slum nyingine inaitwa Mathare😃😃😃😃
 
Yaani wewe kama nisemavyo kila siku, ni boga tena boga la Halloween ambalo wametoa vitu vyote, liko empty. Unavyopost hizo google map screenshots wakati chini ndio panaonekana hivi sijui unataka kumfool nani? I bet unaishi hapa
View attachment 1179229

Aiseee kwenye hilo ghorofa mi siwezi kuishi yaani limekaa kifo kifo anytime linaanguka...

Hivi ni umasikini au nini??..kwa nini wakenya hawafanyi finishing majengo yao
 
Aiseee kwenye hilo ghorofa mi siwezi kuishi yaani limekaa kifo kifo anytime linaanguka...

Hivi ni umasikini au nini??..kwa nini wakenya hawafanyi finishing majengo yao
Na magorofa mengi ya kenya yako hvo😆😆 yani hawa jamaa utu ni jambo la mwisho sana kwao
 
Aiseee kwenye hilo ghorofa mi siwezi kuishi yaani limekaa kifo kifo anytime linaanguka...

Hivi ni umasikini au nini??..kwa nini wakenya hawafanyi finishing majengo yao
Swala moja unatakiwa kujua ni kwanza wakenya hawana uwezo wa kujenga nyumba hususani gorofa, so hayo magofu wanayoishi ni projects za wazungu zilizotelekezwa baada ya kuona baadhi ya majirani zao ni wakenya swala ambalo mzungu anaejipenda hakubali kabisa kuishi sehemu ambayo nyumba ya jirani ni kibanda cha mkenya
 
Swala moja unatakiwa kujua ni kwanza wakenya hawana uwezo wa kujenga nyumba hususani gorofa, so hayo magofu wanayoishi ni projects za wazungu zilizotelekezwa baada ya kuona baadhi ya majirani zao ni wakenya swala ambalo mzungu anaejipenda hakubali kabisa kuishi sehemu ambayo nyumba ya jirani ni kibanda cha mkenya
Hivi ndivyo Nairobi hufanana nje ya kibera
tapatalk_1564501321633.jpeg
 
Swala moja unatakiwa kujua ni kwanza wakenya hawana uwezo wa kujenga nyumba hususani gorofa, so hayo magofu wanayoishi ni projects za wazungu zilizotelekezwa baada ya kuona baadhi ya majirani zao ni wakenya swala ambalo mzungu anaejipenda hakubali kabisa kuishi sehemu ambayo nyumba ya jirani ni kibanda cha mkenya
Nairobi pekee iko na kariakoo zaidi ya mia moja na hayo majengo yamejengwa na wakenya wazawa bila usaidizi wa wazungu jinga hii
 
Nairobi na Dar slum ni kama baba na mtoto....hapa ni mitaani Nairobi
tapatalk_1558031900588.jpeg
 
Ngara ni zaidi ya kariakoo lakini hutaona Mkenya akipost picha hapa sababu tumezoea kuona majengo
unnamed.jpeg
 
Back
Top Bottom