ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,865
Naona umekosa kazi za kufanya😆😆😆😆Hata Mwenzenu NDINDA alishaivulia kifua Nairobi kitambo sana. Kilichobaki hapa ni ushabiki tu ila kila mtu anajua ukweli iko wapi
View attachment 1167916
Naona umekosa kazi za kufanya😆😆😆😆Hata Mwenzenu NDINDA alishaivulia kifua Nairobi kitambo sana. Kilichobaki hapa ni ushabiki tu ila kila mtu anajua ukweli iko wapi
View attachment 1167916
Hasira zikipanda unaokota picha google 😆😆😆😆😆😆😆😆 go on okota na za nigeria pia useme dar usisahau na za congoDar is actually the best city in Africa. Why am I so blinded to see this beauty in its nakedness? The London of Africa is such a beauty! 😂 😂 😂
View attachment 1167897View attachment 1167898View attachment 1167899View attachment 1167900View attachment 1167902View attachment 1167904View attachment 1167905
Hata hii niliyotoa Congo inapendeza kweliHasira zikipanda unaokota picha google 😆😆😆😆😆😆😆😆 go on okota na za nigeria pia useme dar usisahau na za congo
apart from this the remaining Dar is slumsNaona wadau wameipenda picha hatari, mnavyoirudia rudia sio poa yaan 😁😁😁
Ngoja niwape darsa kidogo kwenye hiyo picha
Foreground; Chang'ombe plus Nyerere road industrial area, Keko
Middle ground; Ilala, Karume, Mchikichini, Gerezani
Background; Kariakoo, CBD, Upanga, Mnazi Mmoja, Mchafukoge
FYI
The pic takes almost 13% of Dar 😀😀
Kuna zaidi ya 87% ya Dar yote kutimia haipo kwny hiyo pic
Manispaa ya Kinondoni yote haipo kwny picha, Manispaa ya Ubungo yote haipo kwny picha, Manispaa ya Kigamboni yote haipo kwny picha, Manispaa ya Temeke yote haipo kwny picha na Ilala hapo iko robo tuu ya Manispaa
Ukiambiwa Dar ni kubwa ni kwamba ukiondoa CBD hiyo unayoiona kwny picha kuna zaidi ya hapo mzee mama
Dar imejengwa mzee tembea uyaone, usikae kushikilia Manzese, Tandale, Mbagala, Buguruni, M/nyamala etc
Mm nataka uzo hio picha unioneshe slum hapo labda uwe hujui maana ya slum na hio picha kimuinekano tu imepigwa mbali sana sasa zoom unioneshe slum hapo
apart from this the remaining Dar is slumsView attachment 1167975
Hii picha na nyinginezo ulishakataa sio za Dar. Iweje leo picha ya Congo inakuuma hivyo?Hebu nioneshe slum hapa nimezoom hio picha👇👇👇👇👇 labda ww hujui maana ya slum😆😆😆😆View attachment 1168039
Nioneshe slum hapo au hujui maana ya slum au umekosa slum 😆😆😆😆 yani ww uone slum alaf mzungu asione slum, ww na mzungu nani mjinga???🤣🤣🤣🤣Hii picha na nyinginezo ulishakataa sio za Dar. Iweje leo picha ya Congo inakuuma hivyo?
Kwa sababu umepumbazwa na uzalendo za kijinga, huwezi kuona hizo ni slums. Unachokiona Wewe ni dream houses tu. Achana na ndoto za mchanaNioneshe slum hapo au hujui maana ya slum au umekosa slum 😆😆😆😆 yani ww uone slum alaf mzungu asione slum, ww na mzungu nani mjinga???🤣🤣🤣🤣
Sio uzalendo ndio ukweli hua hamupendi 😆😆😆😆😆😆 onesha slum hapo umshindwaKwa sababu umepumbazwa na uzalendo za kijinga, huwezi kuona hizo ni slums. Unachokiona Wewe ni dream houses tu. Achana na ndoto za mchana
$1.5bn wacha upumbaWhat about hela mnayopata nahis haijafika 1bn usd.number kubwa ila hela chache
Aawapii labda uchanganye na flight tickets though loss making KQ!$1.5bn wacha upumba