Picha Watanzania hawapendi kuona. Wanasema tumeokota picha za Nigeria and Congo mitandaoni na kusema ni za Dar. Hiyo brt ya Congo Brazaville ni noma sana na hizo Mitaa zinapendeza kweli
View attachment 1167541View attachment 1167545View attachment 1167548View attachment 1167552View attachment 1167554
Huyu jamaa ni bwege sana, halafu anashupaa kuelezea ujinga wakeNairobi is 700sqkm.
Dar es salaam is 1,500sqkm.
Unachagua picha moja iliopigwa angle moja kulinganisha Dar na Nairobi?
View attachment 1167294
View attachment 1167295
Hio akili uliotumia wewe iko wapi? Hio 'greatness' inapimwa kwa picha moja?The greatness of a city is not measured by size. If that was the case, your fishing village Dar could be ahead of NYC in everything. Tumueni akili
View attachment 1167586
Yeah kama Ile brt ya kuchora NairobiNaona mji unesambaa kweli kweli. BRT inawakilisha vizuri sana
View attachment 1167521
Ndio maana tukawambia badala ya kupost picha nyingi tumieni hii kwa manufa yenu wenyewe ili msave bundleNaona wadau wameipenda picha hatari, mnavyoirudia rudia sio poa yaan [emoji16][emoji16][emoji16]
Ngoja niwape darsa kidogo kwenye hiyo picha
Foreground; Chang'ombe plus Nyerere road industrial area, Keko
Middle ground; Ilala, Karume, Mchikichini, Gerezani
Background; Kariakoo, CBD, Upanga, Mnazi Mmoja, Mchafukoge
FYI
The pic takes almost 13% of Dar [emoji3][emoji3]
Kuna zaidi ya 87% ya Dar yote kutimia haipo kwny hiyo pic
Manispaa ya Kinondoni yote haipo kwny picha, Manispaa ya Ubungo yote haipo kwny picha, Manispaa ya Kigamboni yote haipo kwny picha, Manispaa ya Temeke yote haipo kwny picha na Ilala hapo iko robo tuu ya Manispaa
Ukiambiwa Dar ni kubwa ni kwamba ukiondoa CBD hiyo unayoiona kwny picha kuna zaidi ya hapo mzee mama
Dar imejengwa mzee tembea uyaone, usikae kushikilia Manzese, Tandale, Mbagala, Buguruni, M/nyamala etc
Duh povu la mwezi july😆😆😆😆Such ignorance disgusts me. That's a cable stayed bridge and not a suspension bridge. Enlighten yourself with bridge design. Suspension bridges are generally more expensive something Danganyikans can't afford.
Malizeni upuuzi huu alafu muje hapa 😆😆😆😆😆👇👇👇👇Such ignorance disgusts me. That's a cable stayed bridge and not a suspension bridge. Enlighten yourself with bridge design. Suspension bridges are generally more expensive something Danganyikans can't afford.
Ujinga wenu ni kufikiria kwamba ukubwa wa mji ndio ubora au maendeleo. NYC is almost the same size as Nairobi but a million times better than your glorified fishing village. Ndio maana nikasema mtumie akili na muendeleze mji wenu badala ya kupiga kifua na size yake. Size is nothing if it's not developedHio akili uliotumia wewe iko wapi? Hio 'greatness' inapimwa kwa picha moja?
Huo ni ujinga wako wewe. Mwenzio kapiga picha angle moja kazungumzia ukubwa wa mji. Kwa ujinga wako wa kuvamia bila kuelewa unatuletea habari za NY. Na nyie tumieni akili muendeleze Kibera iwe kama mnavyotamani iwe.Ujinga wenu ni kufikiria kwamba ukubwa wa mji ndio ubora au maendeleo. NYC is almost the same size as Nairobi but a million times better than your glorified fishing village. Ndio maana nikasema mtumie akili na muendeleze mji wenu badala ya kupiga kifua na size yake. Size is nothing if it's not developed