Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

muungano hoyeeee....
Kenya ni one man army...kwanza vp yule mbunge aliyekamatwa nje ya nchi(zanzibar) na kuzuiliwa katika uhamiaji
So hutaki zanzibar iwe tanzania😆😆😆 au hujui mombasa pia ni muungano???
 
Bwahahaaaaa!!!muungano na wapi
😆😆😆💉💉💉💉👇👇👇👇

 
want to split...bwahaha...nafikiria utaleta watu wanataka muungano uvunjwe km wazanzibar


Hv nikuulize...rais wa mombasa alikuwa nani na ilipata uhuru lini mwana historia...


 
want to split...bwahaha...nafikiria utaleta watu wanataka muungano uvunjwe km wazanzibar


Hv nikuulize...rais wa mombasa alikuwa nani na ilipata uhuru lini mwana historia...
Au hujui maana ya split😆😆😆 yaonesha muumgano wa tanzania unakuuma sana hii bendera ya wapi hebu niambie👇👇👇
9FDA3AB1-63A9-43C4-8098-30DB2190B275.jpeg

89523951-72D1-4B45-8787-08BCE02B11F0.jpeg


Naona munasuzika kuskia muumgano wa tanzania sasa una miaka zaidi ya 60😆😆
 

vipi ichoboy

Tena tumepewa bure hakuna cha mkopo unajua kwanini??? Nenda usome history ya tanzania na china alaf utajua kwann wachina wako tayari kuipa tanzania pesa bila masharti tofaut na kenya 😆😆😆😆

Kilichokuuma ni kwamba nyie hamujaambulia kitu mpaka sasa hvi😀😀
 
Si eti anawapenda...ni kawaida ya ldc kusaidiwa

Kisha eti mnakuja hapa kusema pesa za ndani...kumbe ni misaada ..
Tena tumepewa bure hakuna cha mkopo unajua kwanini??? Nenda usome history ya tanzania na china alaf utajua kwann wachina wako tayari kuipa tanzania pesa bila masharti tofaut na kenya

Kilichokuuma ni kwamba nyie hamujaambulia kitu mpaka sasa hvi
 
...asante sana kw kukubali km zanzibar na tz si nchi moja..bali ni muungano tu..

Ni sawa mtu aseme wales na england ni nchi moja kisa zote zipo united kingdom
Ni nchi moja au hujui kama tanzania imetokana na tanganyika na zanzibar tatizo lako hupendi kuona muungano uliodumu zaidi ya miaka 60 😆😆😆😆😆

Na CCM ndio chama kinachotawala kote zanzibar na tanzania bara au hujui pia hilo😄😄😄😄
 
Si eti anawapenda...ni kawaida ya ldc kusaidiwa

Kisha eti mnakuja hapa kusema pesa za ndani...kumbe ni misaada ..
china kuipa pesa tanzania tena bure hio ni hiari ya wachina hatujawalazmisha ni mapenzi yao kwasababu wanakumbuka fadhila za nyerere juu yao

MLDC hii hapa pesa ya kulipa fidia kwa watu wenu hamuna😆😆😆😆👇👇👇👇

 
Ni nchi moja au hujui kama tanzania imetokana na tanganyika na zanzibar tatizo lako hupendi kuona muungano uliodumu zaidi ya miaka 60 😆😆😆😆😆

Na CCM ndio chama kinachotawala kote zanzibar na tanzania bara au hujui pia hilo😄😄😄😄
Ona ujinga mlioachiwa na kenyatta😆😆👇👇

 
Hawajaanza china pekeake...hata japan waliwapa donation ya tazara...bwahaha..

Hyo tweet yako wapi inasema kenya hawana uwezo wa kulipa fidia...
china kuipa pesa tanzania tena bure hio ni hiari ya wachina hatujawalazmisha ni mapenzi yao kwasababu wanakumbuka fadhila za nyerere juu yao

MLDC hii hapa pesa ya kulipa fidia kwa watu wenu hamuna

 
Bwahahaaaa....jiulize kwanini mnajiita united republic of tanzania...


Ni sawa na kusema UK ni nchi...wuhuhuuuu

Ni nchi moja au hujui kama tanzania imetokana na tanganyika na zanzibar tatizo lako hupendi kuona muungano uliodumu zaidi ya miaka 60

Na CCM ndio chama kinachotawala kote zanzibar na tanzania bara au hujui pia hilo
 
Back
Top Bottom