Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 73,000
- 103,887
Naona ushaanza kua na akili sasa![]()
Wenye akili hawa hapa👇👇👇👇😆😆Tulia wewe...ndinda n mtu na akili zake...yule sio km wewe..anajielewa
Hapo shida ni nini hebu niambie kati ya aliejenga hilo daraja watu wavuke au aliejenga hii nani mwenye akili😆😆😆👇👇👇
Si hilo linasombwa na kimbuga keneth tuHapo shida ni nini hebu niambie kati ya aliejenga hilo daraja watu wavuke au aliejenga hii nani mwenye akili




Tena aliejenga hilo daraja anaakili sana kwasababu wakat wa mvua hapo watu ndio wataona faida yake👏👏👏👏👏
Abeid karume international airport terminal 1Kisumu AirportView attachment 1137649
😆😆😆😆😆Uwanja umeacha kuvuja?
Km akili ni hzo basi mm sizitaki...ile siku mafuriko yakikibeba mdio mtatjua hamjuiTena aliejenga hilo daraja anaakili sana kwasababu wakat wa mvua hapo watu ndio wataona faida yake![]()



Abeid karume international airport terminal 1
View attachment 1137666
Abeid aman karume international airport terminal 2
View attachment 1137659View attachment 1137656View attachment 1137657View attachment 1137658
Yatabeba vp wakat unaona huo ni mtaro au huna macho😆😆😆Km akili ni hzo basi mm sizitaki...ile siku mafuriko yakikibeba mdio mtatjua hamjui
Dawa imekuingia 😀😀💉💉💉💉💉Zanzibar a country vs kisumu...![]()
Yatabeba vp wakat unaona huo ni mtaro au huna macho![]()


muungano hoyeeee....


Dawa imekuingia![]()