Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ubishi wako haubadili chochote,licha ya kua Kwa muungano wa sadc huna uhusiano wowote na mtu wa southern Africa.yapo makabila kenya na pia yanapatikana Tanzania hao ni mandugu hadi Yesu arudi.
Usilazimishe undugu na sisi, Tanzania ndugu zetu wa damu ni SADC kwasababu walipokua na shida tuliwahifadhi tukagawana kidogo tulichopata, tulikwenda kupigana hadi tukawakomboa wakarudi katika nchi zao wakiwa huru, huo ndio udugu wa kweli. Undungu ni kusaidi katika shida na raha, sio kupakana.

Kuhusu Makabila kuwa katika nchi mbili, kama ilivyo Kenya na Tanzania, hivyo hivyo kuna wamakonde upande wa Msumbiji na wamakonde upande wa Tanzania, kuna wanyasa upande wa Malawi na Wanyama upande wa Tanzania, kuna wanyakyusa upande wa Tanzania na Zambia. Kuwa na makabila katika mipaka haitoshi kama hamsaidiani badala yake mnashutumiana kila siku kama ilivyo Tanzania na Kenya, au Kenya na Somalia.
 
Wuhuhuuuu....wamehama kw list...wali mmekula kishapo hadi hamuamini...

Mbna tena...au mmeshindwa...elevi wape picha hadi wakimbiane..wataka list kwhyo zile ndege mnazoletewa sio za kenya....bwahahaaaaa...
Mnatafuta pa kutokea sio
Acha porojo buda, weka list ya kampuni za ndege hapa sio unatuletea randomly
 
Engineer levi...wakilazimisha sana pia tutawapa mpka list ya towns...tuone akina nani ndio wanatowns nyingi
 
Jamaa kaingiza tena👇👇👇
888C0C4A-CFE2-4090-935D-81583D6499CF.jpeg
 
Back
Top Bottom