komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Wuhuhuuuu.!!!tuonyeshe wapi ccm imelisha hta mtaaYap but cha ajabu ni kuona MLDC haina pesa yakusaidia chakula wananchi wake wanaokufa kila mwaka kutokana na njaa



Wuhuhuuuu.!!!tuonyeshe wapi ccm imelisha hta mtaaYap but cha ajabu ni kuona MLDC haina pesa yakusaidia chakula wananchi wake wanaokufa kila mwaka kutokana na njaa



Donation hio ni mapenzi yao wakitoa pesa ila inaskitisha kuskia MLDC inapewa msaada wa chakula almost kila mwaka 😆😆👇👇
Walisema wao lakini chakuskitisha walikuja kuomba radhi kwa magu wakat AFDB na world bank zikisema uchumi unakua kwa 7%😆😆Na hao hao waliosema hvo hyo hesabu yako hawaitambui![]()
Na hutaskia tanzania inalia na njaa na juzi mumeomba muuziwe chakula 1m tons 😆😆😆👇👇👇👇Wuhuhuuuu.!!!tuonyeshe wapi ccm imelisha hta mtaa![]()
Hamuombi na hamna chakula cha kueleweka...madhara yakeNa hutaskia tanzania inalia na njaa na juzi mumeomba muuziwe chakula 1m tons



Hio ni picha kama vile naeza chukua picha kama hio nikaandika maneno kama hayo kuhusu kenya leta official source😆😆😆
Wuhuhuuuuu!!!hta mbowe pia ni wenu..kwhyo hata haileti tofauti yyte..Walisema wao lakini chakuskitisha walikuja kuomba radhi kwa magu wakat AFDB na world bank zikisema uchumi unakua kwa 7%
Tena huyu ni ndugu yenu


pale ikulu kaja km shahidi ndio muone km uchumi unakua kw ajili ya watu km nynyi


Kwhyo ni uongoHio ni picha kama vile naeza chukua picha kama hio nikaandika maneno kama hayo kuhusu kenya leta official source![]()
Ulihepa Battle ya Westlands vs Dar es Sluum mbona?Hio ni picha kama vile naeza chukua picha kama hio nikaandika maneno kama hayo kuhusu kenya leta official source😆😆😆
Nachooma hapo ni CBD 👇👇👇👇
Ukipata official source nitag pls😆😆😆💉Kwhyo ni uongo
Walikuja wenyewe kutubu kwamba wameomba radhi sasa ww niletee source kua IMF wametubu kusema kenya wanaongeza thaman yao ya pesa kwa 30% nifunge account jamii forum😆😆😆😆Wuhuhuuuuu!!!hta mbowe pia ni wenu..kwhyo hata haileti tofauti yyte..
Rais wa AFDB si mlimuhonga...pale ikulu kaja km shahidi ndio muone km uchumi unakua kw ajili ya watu km nynyi
![]()
Naona ushaanza kuchanganyikiwa sasa naona umekosa hoja😆😆😆
Ile siku utaniletea hayo mashesabu yako yanaendana na IMF nitakuletea hyo sourceWalikuja wenyewe kutubu kwamba wameomba radhi sasa ww niletee source kua IMF wametubu kusema kenya wanaongeza thaman yao ya pesa kwa 30% nifunge account jamii forum![]()
Angalia hio building iko na red afu uangalie Hii picha Tena... tallest building in East and Central Africa na bado haijakamilika na iko WESTLANDSNachooma hapo ni CBD 👇👇👇👇
View attachment 1137835
Nilikwambia kusanya nairobi mombasa na kisumu ulete hapa kwa dar alaf tuone kama utatoboa😆😆😆😆
We kuumia lazima...kawaida maumivu kw watu wanaopinga ukwelNaona ushaanza kuchanganyikiwa sasa naona umekosa hoja![]()




Wasikize ImF walijileta wenyewe kwa jembe kuomba radhi😆😆😆👇👇👇👇Ile siku utaniletea hayo mashesabu yako yanaendana na IMF nitakuletea hyo source
Narudia kukwambia tena ninachokiona hapo ni CBD ya nairobi kwa ushauri nakupa leta mombasa nairobi na kisumu mm niko tayari twende kazi👇👇👇Angalia hio building iko na red afu uangalie Hii picha Tena... tallest building in East and Central Africa na bado haijakamilika na iko WESTLANDS
View attachment 1137840
View attachment 1137846