Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na hao hao waliosema hvo hyo hesabu yako hawaitambui
Walisema wao lakini chakuskitisha walikuja kuomba radhi kwa magu wakat AFDB na world bank zikisema uchumi unakua kwa 7%😆😆

Tena huyu ni ndugu yenu👇👇👇👇
 
Na hutaskia tanzania inalia na njaa na juzi mumeomba muuziwe chakula 1m tons

Hamuombi na hamna chakula cha kueleweka...madhara yake
1_J8fjHaz-V6oWoiAb6oK5Sg.jpeg
 
Walisema wao lakini chakuskitisha walikuja kuomba radhi kwa magu wakat AFDB na world bank zikisema uchumi unakua kwa 7%

Tena huyu ni ndugu yenu
Wuhuhuuuuu!!!hta mbowe pia ni wenu..kwhyo hata haileti tofauti yyte..

Rais wa AFDB si mlimuhonga...pale ikulu kaja km shahidi ndio muone km uchumi unakua kw ajili ya watu km nynyi
 
Wuhuhuuuuu!!!hta mbowe pia ni wenu..kwhyo hata haileti tofauti yyte..

Rais wa AFDB si mlimuhonga...pale ikulu kaja km shahidi ndio muone km uchumi unakua kw ajili ya watu km nynyi
Walikuja wenyewe kutubu kwamba wameomba radhi sasa ww niletee source kua IMF wametubu kusema kenya wanaongeza thaman yao ya pesa kwa 30% nifunge account jamii forum😆😆😆😆
 
Walikuja wenyewe kutubu kwamba wameomba radhi sasa ww niletee source kua IMF wametubu kusema kenya wanaongeza thaman yao ya pesa kwa 30% nifunge account jamii forum
Ile siku utaniletea hayo mashesabu yako yanaendana na IMF nitakuletea hyo source
 
Angalia hio building iko na red afu uangalie Hii picha Tena... tallest building in East and Central Africa na bado haijakamilika na iko WESTLANDS
View attachment 1137840
View attachment 1137846
Narudia kukwambia tena ninachokiona hapo ni CBD ya nairobi kwa ushauri nakupa leta mombasa nairobi na kisumu mm niko tayari twende kazi👇👇👇
14327591-A91B-439F-AE7E-98081386E7AD.jpeg



Westland bado sana jengeni kwanza mupunguze mapori na vichaka
 
Back
Top Bottom