Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,923
- 103,791
An airline with kuukuu aircraft!
An airline with kuukuu aircraft!
Tafadhali nipe more info kuhusu kampuni hii.Bado Sana. Tena malipo ni ya mtu wa kawaida yani wakenya wote wanaweza kumudu huu usafiri. Hizo hapo kampuni mbili za usafiri wa anga Africa express na east African only in Kenya.View attachment 1137092View attachment 1137093View attachment 1137094View attachment 1137095View attachment 1137096View attachment 1137097
Nimeeka coastal, auric, tanzan air, tropical air, flight link, precisionWewe umeeka kampuni nne tu zenye videge vya kijinga halafu unatarajia nipost zingine sasa zishindane na nini wakati hamna ndege labda upost bajaji.![]()
PPP per capita ya Kenya ni sawa na mkoa wa MwanzaWestlands 1 - 0 Dar es salaam
Sujui tujaribu Upperhill vs Tz? Watu wa 3towers mnasema aje?
Hatuzungumzii KQ ,KQ is our first born and he has made us proud.hapa tunazungumzia watoto ambao wamezaliwa nyuma ya KQ.Sio tatizo lakini ni tanzanian owned companyuna jingine mbona kq share hamusemi hapa inamilikiwa na kina nani???
Miaka 50 ndege tatu tutafuteni mchawi
bado nasubiri info ya East AfricanHatuzungumzii KQ ,KQ is our first born and he has made us proud.hapa tunazungumzia watoto ambao wamezaliwa nyuma ya KQ.
we si ulisema aviation industry?Hatuzungumzii KQ ,KQ is our first born and he has made us proud.hapa tunazungumzia watoto ambao wamezaliwa nyuma ya KQ.
Proud With 3 owned aircraft within 50yrs😆😆😆😆😆😆Hatuzungumzii KQ ,KQ is our first born and he has made us proud.hapa tunazungumzia watoto ambao wamezaliwa nyuma ya KQ.






Bwahahaa...hatuwezi kubali uvuruge mada pleasetuletee ndege zenu...
Nasubiria...km huna utuambie tu![]()
Tunanunua tukisajili na 5H ili nanyi kama ndugu zetu tuwape matumaini ya kuishi na kuona kwamba mnamiliki ndege.Leta ndege yoyote ya precision iliosajiliwa kwa registaration 5Y ukipata yoyote nitag![]()
We boya kweli,hio kampuni inaitwa freedom airline.Sioni jina la kampuni naona unaokota picha unapost vipi????![]()
Kwani sio ndege,ama umeziona ni fuso ? Hilo kukuonesha kwamba tuna control sector zote hata bila KQ bendera bado itapeperushwa.Ujue wewe ni kichwa cha mwendawazimu sasa umeingia kwenye cargo![]()
Ww unaokota picha ovyo inamaana unataka kutuambia hii ni kampuni mojana initea jina gani?????
Tanzania na Kenya sio ndugu, ila ni majirani tu, Tanzanian ndugu zetu ni SADC countries na Uganda, hao tuliwakomboa toka mikononi mwa wauwaji. Kenya ndugu zenu ni Somalia na South Sudan.Tunanunua tukisajili na 5H ili nanyi kama ndugu zetu tuwape matumaini ya kuishi na kuona kwamba mnamiliki ndege.
Hahaaa naona wivu umekufurisha mashavu kama maiti aliekosa ndugu ,unamwaga povu kisenge.Umerudia picha sana yaani mtu hadi unajivunia kwa helicopters![]()
. Ni almost meaningless kuwa na a failing national carrier huku ukijivunia private companies za ndege. Nyie si mnamiliki ndege tatu tu for the lat what? 50 years? Sisi hatukuwa na shirika lenye bahati saaana ila tumeshawashinda kwa umiliki wa ndege nyingi.
Nimeeka coastal, auric, tanzan air, tropical air, flight link, precision