komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Umepanic kuona kifaa hicho...usijaliHapo vipi utatoka[emoji38][emoji38][emoji38][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1135833View attachment 1135834View attachment 1135835
Umepanic kuona kifaa hicho...usijaliHapo vipi utatoka[emoji38][emoji38][emoji38][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1135833View attachment 1135834View attachment 1135835
Jamaa anataka aturingishie ndege ambazo sio zao, tena anajitapa kwelikweli 😀 😀 😀Cha kuskitisha kq ina milioo ndege 3 tu😆😆😆😆😆 ina miaka zaidi ya 45 lakini air tanzania imefufuliwa 2yrs ago ina ndege 8 huoni ajabu hapo
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]sio kw povu hiloJamaa anataka aturingishie ndege ambazo sio zao, tena anajitapa kwelikweli 😀 😀 😀
Shabiby ni kampuni kubwa sana na pia ana mabasi ya kila aina labda nikuoneshe ili uache kulia👇👇👇👇👇👇👇Heheheee...unafikiria mm sina macho...shabiby ulituma hadi ukachoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahha miaka 50 ya shirika eti wanamiliki ndege 3 😆😆😆😆😆 wakat air tanzania imefufuliwa juzi ina ndege 8 brand newJamaa anataka aturingishie ndege ambazo sio zao, tena anajitapa kwelikweli 😀 😀 😀
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]sio kw povu hilo
Nadhani hii ndio asali .Vijiji vya Kenya ni Vibaya sana, Hamjui kujenga nyumba, Poor housing, Kule pwani vile viblocks sijui mnaokotaga wapi, Very ugly..
Kwani hamiwezi tumia blocks za cement? Au you are too poor to afford.
Umekasirika bila shaka 😆😆😆😆 sasa nikupeleke kwenye marine transport nikakukamue vzrNadhani hii ndio asali .View attachment 1135846View attachment 1135848
Si ajabu hata hizo tatu hazifahamu ni zipi, mara ukute ni vile vipipa vidogo kuliko q400 😀 😀Hahahha miaka 50 ya shirika eti wanamiliki ndege 3 😆😆😆😆😆 wakat air tanzania imefufuliwa juzi ina ndege 8 brand new
Kwao kila kitu ni maigizo😆😆😆 yani ukifatilia maisha yao unaeza kuangukaSi ajabu hata hizo tatu hazifahamu ni zipi, mara ukute ni vile vipipa vidogo kuliko q400 😀 😀
Punguza jazba...Hahahha miaka 50 ya shirika eti wanamiliki ndege 3 [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] wakat air tanzania imefufuliwa juzi ina ndege 8 brand new
Always in denial...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwao kila kitu ni maigizo[emoji38][emoji38][emoji38] yani ukifatilia maisha yao unaeza kuanguka
Tunakucheki tu uchwara, we endeleaBado ngoma.View attachment 1135624View attachment 1135625View attachment 1135626View attachment 1135627View attachment 1135628View attachment 1135629View attachment 1135630View attachment 1135631View attachment 1135632View attachment 1135633View attachment 1135635View attachment 1135637View attachment 1135638View attachment 1135640View attachment 1135641View attachment 1135642View attachment 1135643View attachment 1135644View attachment 1135646View attachment 1135647
Kwa jinsi pro Tzn blind praise team wanavyoongea nikajua huko northern Kenya ni kuna ngamia na punda tuu kumbe hata huko kuna maendeleo.Mandera nayo hyo...yani watanzania huaga mnaichukulia northern kenya poa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1133934View attachment 1133935View attachment 1133936View attachment 1133937View attachment 1133938View attachment 1133939
Always in denial...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ushaanza kuweka na yale makatuni yenu yenye keriaBado ngoma.View attachment 1135624View attachment 1135625View attachment 1135626View attachment 1135627View attachment 1135628View attachment 1135629View attachment 1135630View attachment 1135631View attachment 1135632View attachment 1135633View attachment 1135635View attachment 1135637View attachment 1135638View attachment 1135640View attachment 1135641View attachment 1135642View attachment 1135643View attachment 1135644View attachment 1135646View attachment 1135647
Huu ni utumbo gani???😆😆😆😆 hebu kueni serious plzWale watanzania mnaotaka kutumia sgr...smart coach inakupeleka hadi katika station husika .....
Business minded people...napenda sana watu wa aina hii...unajitengezea fursa...duh!!!View attachment 1135854View attachment 1135855View attachment 1135856View attachment 1135858
Kwa jinsi pro Tzn blind praise team wanavyoongea nikajua huko northern Kenya ni kuna ngamia na punda tuu kumbe hata huko kuna maendeleo.
Sishangai sana maana uchumi wa Kenya ni mkubwa sana
Bado tu unambwela, hiyo mbukinya vipi jombaa unatuletea mabasi ya kiwaki hapaAcha ngoma itambe.View attachment 1135648View attachment 1135649View attachment 1135650View attachment 1135651View attachment 1135652View attachment 1135653View attachment 1135654View attachment 1135655View attachment 1135656View attachment 1135657View attachment 1135658View attachment 1135659View attachment 1135660View attachment 1135661View attachment 1135662View attachment 1135663View attachment 1135664View attachment 1135665View attachment 1135666View attachment 1135667