Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa jinsi pro Tzn blind praise team wanavyoongea nikajua huko northern Kenya ni kuna ngamia na punda tuu kumbe hata huko kuna maendeleo.
Sishangai sana maana uchumi wa Kenya ni mkubwa sana
Uchumi wa kenya uko kwenye makaratasi with 64% debt to GDP ratio ndio maana over 65% ya budget yenu yote inatumika kulipa madeni😆😆😆😆😆😆
 
Huu ni utumbo gani???[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] hebu kueni serious plz
Heheeee!!!niletee hzo za kwenu...mwenzako ywapiga hela wewe unaona utumbo...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Muombee biashara yake ife[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
 
Lamu, Turkana, Masabit, Moyale kote huko njaa tupu na Ukame,
Watu wanakunywa mikojo ya Punda.
We waijua lamu kwel au waiskia...,moyale je?...

Duh!!!yaonyesha kile kipigo cha turkana cha juzi bado kinawazuzua...bado huamini bro kuona turkana imesonga angalau kiasi...

Siri yake ugatuzi...2013-2019 turkana hvo vyote vilikuwa havipo....ugatuzi hoyee...ndani ya miaka sita turkana tayari imeanza kuipa bukuba rival
 
We waijua lamu kwel au waiskia...,moyale je?...

Duh!!!yaonyesha kile kipigo cha turkana cha juzi bado kinawazuzua...bado huamini bro kuona turkana imesonga angalau kiasi...

Siri yake ugatuzi...2013-2019 turkana hvo vyote vilikuwa havipo....ugatuzi hoyee...ndani ya miaka sita turkana tayari imeanza kuipa bukuba rival

Apart from The slum city of Nairobi,
Kwengineko Kenya yote ni Ufukara na Funza Njaa. Everybody knows.
Ulifananisha Bukoba na Kule Kwenye Njaa kali Tukana. Ukala za uso
 
Sijui kama iko nchi africa ina modern marine transport kama hzi sina hakika😆😆😆😆😆😆👇👇👇👇👇👇👇


Kilimanjaro 1
View attachment 1135866






Kilimanjaro 2
View attachment 1135867







Kilimanjaro 3
View attachment 1135860







Kilimanjaro 4View attachment 1135864








Kilimanjaro 5
View attachment 1135863
View attachment 1135865








Kilimanjaro 6View attachment 1135861










Kilimanjaro 7View attachment 1135862
Ni tanzania pekee, bila kusahau kwenye lakes, kwote tumekamata. Kweli tuna haki ya kuwa the blues. Mungu ibariki Taifa Stars
 
Apart from The slum city of Nairobi,
Kwengineko Kenya yote ni Ufukara na Funza Njaa. Everybody knows.
Ulifananisha Bukoba na Kule Kwenye Njaa kali Tukana. Ukala za uso
Lamu hyo...umelianzisha...
DSC_5986-1024x681.jpeg
SURGERY1.jpeg
QP59oFtezvvw1IcZ2wk3xGoKXmHQ8WHNCMQ74Cib9V0ZWEu3UgwCHvGTVmbeybQZeDT5tSHTIgvOQgiCSIYEWVSCZSF-S...jpeg
DcDl0T2VAAASu0F.jpeg
Pic%2B6.jpeg
11219119_823281994455165_7727802680571334989_n.jpeg
12046947_823281987788499_3513398610536879488_n.jpeg
FB_IMG_15612817172812533.jpeg
QP59oFtezvvw1IcZ2wk3xGoKXmHQ8WHNCMQ74Cib9V0ZWEu3UgwCHvGTVmbeybQZeDT5tSHTIgvOQgiCSIYEWVSCZSF-S...jpeg
Screen-Shot-2018-11-18-at-2.01.29-PM.jpeg
Lamu%2Bpix.jpeg
 

Attachments

  • FB_IMG_15612817172812533.jpeg
    FB_IMG_15612817172812533.jpeg
    25.5 KB · Views: 20
Huu ni utumbo gani???😆😆😆😆 hebu kueni serious plz
Mchina aliwaweza kwakweli. Duniani tunafikiria namna ya kuepuka usumbufu, wao wanaongeza usumbufu
🤣 🤣 🤣 Unapanda hivyo vipanya then ukifika kwenye terminal unapanda juu -> unashuka -> unaingia kwenye train, utadhani kuna mto katikati ya terminal
 

Attachments

  • FB_IMG_1561266099615.jpeg
    FB_IMG_1561266099615.jpeg
    30.9 KB · Views: 23
Back
Top Bottom