Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanza ni mkenya ,ukikumbuka wakati kikwete alipokuja katika Bunge letu kutuaga alisema kua yapo magari ya wakenya elfu 50000 ambayo yalisajiliwa Tanzania na yanafanya kazi ya uchukuzi nashuku hii Dar lux ni moja wapo ya kampuni za kikenya ambazo zimewekeza kule Kwa ajili ya biashara.
Mi pia naishuku sana...mannake hamna mtanzania mwenye akili zile walai...
Mtanzania yeye hufikiria stendi tu...hataki lounge wala nn....

Mwengine kasema waenda pale stendi wachagua basi unalotaka wakatiwa receipt yako na safari inaanza....yani nilicheka sana...
 
Mi pia naishuku sana...mannake hamna mtanzania mwenye akili zile walai...
Mtanzania yeye hufikiria stendi tu...hataki lounge wala nn....

Mwengine kasema waenda pale stendi wachagua basi unalotaka wakatiwa receipt yako na safari inaanza....yani nilicheka sana...
Walahi hawana akili.
 
Wacha na mimi nitie angalau kamkono ty
41520560_1886197654790443_2346783131400404992_n.jpeg
41598400_1886198548123687_1566408803740549120_n.jpeg
1080x360.jpeg
30652480_1370128379799671_3277773093023514624_n.jpeg
56949279_1696453080500531_4928219606289481728_n.jpeg
57081010_1696453050500534_2975648050992644096_n.jpeg
FB_IMG_15612414997337572.jpeg
FB_IMG_15612411732684011.jpeg
Screenshot_20190623-010821_Lite.jpeg
FB_IMG_15612413214274370.jpeg
FB_IMG_15612411843803607.jpeg
FB_IMG_15612412236398180.jpeg
FB_IMG_15612412495989667.jpeg
Screenshot_20190623-010926_Lite.jpeg
FB_IMG_15612413906096458.jpeg
FB_IMG_15612413995592342.jpeg
FB_IMG_15612414589617937.jpeg
FB_IMG_15612414716384536.jpeg
 

Attachments

  • FB_IMG_15612411732684011.jpeg
    FB_IMG_15612411732684011.jpeg
    38.6 KB · Views: 27
  • FB_IMG_15612413214274370.jpeg
    FB_IMG_15612413214274370.jpeg
    19.3 KB · Views: 23
Hawa wanajua umbea wa vijiweni kama pale sinza mambo ya maendeleo wapi na wapi.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kila kitu kwao wanakariri..hadi nashangaa walai...wameichukulia turkana poa eti...next time ni mandera...na deal nao na northern kenya tu...hko wanapo padharau...ni aibu kulinganisha county za hku southern kenya na mikoa ya tanzania...

Level yao kimaendeleo ni northern kenya tu
 
Kila kitu kwao wanakariri..hadi nashangaa walai...wameichukulia turkana poa eti...next time ni mandera...na deal nao na northern kenya tu...hko wanapo padharau...ni aibu kulinganisha county za hku southern kenya na mikoa ya tanzania...

Level yao kimaendeleo ni northern kenya tu
Katika mikoa yao watu wanaishi maisha ya kuhuzunisha halafu anakuja hapa kumuaga povu na kitecno chake.
 
Katika mikoa yao watu wanaishi maisha ya kuhuzunisha halafu anakuja hapa kumuaga povu na kitecno chake.
Kuna jamaa kaja hapa ka post vijumba vya geti viwili vitatu eti ywasema nimuonyesha kijiji km hicho kenya...hku kasahau km hajapachika jina ya hicho kw kuhofia kuumbuka
 
Kuna jamaa kaja hapa ka post vijumba vya geti viwili vitatu eti ywasema nimuonyesha kijiji km hicho kenya...hku kasahau km hajapachika jina ya hicho kw kuhofia kuumbuka

Vijiji vya Kenya ni Vibaya sana, Hamjui kujenga nyumba, Poor housing, Kule pwani vile viblocks sijui mnaokotaga wapi, Very ugly..
Kwani hamiwezi tumia blocks za cement? Au you are too poor to afford.
 
Kuna jamaa humu anasema Dar Lux ni ya Mkenya
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom