Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kama sisi tunavyowadharau kwenye mambo ya kawaida kabisa.

watu na akili timamu mnakufa njaa[emoji23][emoji23][emoji23],akili mnazitumia wapi??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]povuuuu!!!leta mahindi bida tununue angalau na wewe utapata hela za kujikimu...wacha kupiga kelele na kuimba nyimbo za mapambio
 
unajishtukia mkuu,mimi sijakutaja wewe.

kwani nawewe ni maarufu kiasi hiki humu!!!
Ni mm hakuna mwingine kwenye hili jukwaa nae react against ujinga wa praise team,Kuna nyuzi nyingi nimeanzisha kwenye majukwaa mengine eti akina tuusan wananiuliza mbona sieleweki eti huku mnaniita mkenya basi mimi najibu tu stick kwenye hoja zangu mambo ya utaifa utaamua wewe unavyojiskia
 
Ni mm hakuna mwingine kwenye hili jukwaa nae react against ujinga wa praise team,Kuna nyuzi nyingi nimeanzisha kwenye majukwaa mengine eti akina tuusan wananiuliza mbona sieleweki eti huku mnaniita mkenya basi mimi najibu tu stick kwenye hoja zangu mambo ya utaifa utaamua wewe unavyojiskia
kwahiyo unalazimisha uwe wewe sio!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]povuuuu!!!leta mahindi bida tununue angalau na wewe utapata hela za kujikimu...wacha kupiga kelele na kuimba nyimbo za mapambio
Ila leo buda umenifurahisha kuna mtu umempiga vijembe vya mguuni utafikiri anatembea gizani
 
Unajisumbua kudhani mimi ni mkenya pole ni vile ujinga wa kukataa ukweli as if Tzn mambo ni matamu saaana mabaya yako kenya tu,sasa huo ujinga mimi niliwaachia kama unadhani mm niko upande gani search nyuzi zangu utajua au check adress zangu humu ila sitoacha kusifia kwenye ukweli na kuponda kwenye undezi,mimi sina uzalendo wa kipuuzi kama wako na timu yako
Kwahio address yako ikionesha uko Tz huwezi kuwa mkenya? Mpo wengi Tz tena mnaongea Kiswahili kilichonyooka.
 
1B4B57B4-DEC9-46F8-8DF7-3DA0DADB2EC9.jpeg
 
Back
Top Bottom