Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dah....nachelea kusoma na kujibu maana naloandika mm na nyie ni mambo mawili tofauti....kukua kwa miji ni evolution lazima itokee maana kuna mambo mengi yanabadilika...technology inapokua....akili zinakua na maendeleo lazima yawepo....mzee master plan haizuii kujenga bt my point haikuwepo na haipo...ndo mana shm ambazo zilikua bado pori now wanajitahidi....mm nadesign jengo kkoo naelewa nalosema.....sikatai dar inakua sana na stil kukua kwake haitunyimi kusema ukwel haijapangwa.....leo tunaona dodoma inaanza jengeka...wasikosee km huu mji....na elewa km nairobi ilikua ya maana kuliko dar ni nadra sana kuifikia recent...kwan wao pia wanakua....tatizo watanzania tunaushindani ambao hauna tija....leo we build flyover hata haijaanza makelele kibao wakati nairobi kwao sio kitu kigeni...ni va kujisifia bt tuache kulinganisha mambo kwa ushabiki....tusifie kwa mazuri....tunajikweza sana watz na kudharau....na hatujui ushabiki hauna maana kwa familia zetu....mfano angali ooh sijawai enda nairobi au mtu anajisifia yy wa dar wakati kwao.kashozi...yap mm baba angu mkenya machakos na mama mpare....nimeishi kote unaposema naelewa ila ushabiki wa haunisaidii....tujenge nchi yetu kwa manufaa yetu sio comparison ambazo hazituletei tija....
Wewe ni Mkenya. Nilishasema muda mrefu utatoa povu mpaka ukome.
Kwanza injinia gani huyu hajui hata kuandika!!?
Unaandika kama bata, halafu unajifanya injinia.
Maandishi hayana nukta hata koma. Yaani umeandika maelezo marefu kama sentensi moja.
Usijifanye designer wakati siyo. Jengo gani una design hebu lilete hapa tukione. Linaitwaje?
Nimekueleza toa ushamba wako hapa tutakutoa povu mpaka utakimbia. Namna ulivyoandika tu; ni proof tosha kiwango chako cha uelewa ni finyu mno, kama mtoto mdogo. Rudi shule ndio ulete maelezo humu. Halafu usijipe title ambayo huna. Hizo ni sifa za wajinga wenzako huko Kenya.
Hivi unazijua slums za Nairobi wewe au unaimba nyimbo tu. Ngoja nikuwekee hapa list:-
Dar hakuna uharo kama huo.
 
Dah....nachelea kusoma na kujibu maana naloandika mm na nyie ni mambo mawili tofauti....kukua kwa miji ni evolution lazima itokee maana kuna mambo mengi yanabadilika...technology inapokua....akili zinakua na maendeleo lazima yawepo....mzee master plan haizuii kujenga bt my point haikuwepo na haipo...ndo mana shm ambazo zilikua bado pori now wanajitahidi....mm nadesign jengo kkoo naelewa nalosema.....sikatai dar inakua sana na stil kukua kwake haitunyimi kusema ukwel haijapangwa.....leo tunaona dodoma inaanza jengeka...wasikosee km huu mji....na elewa km nairobi ilikua ya maana kuliko dar ni nadra sana kuifikia recent...kwan wao pia wanakua....tatizo watanzania tunaushindani ambao hauna tija....leo we build flyover hata haijaanza makelele kibao wakati nairobi kwao sio kitu kigeni...ni va kujisifia bt tuache kulinganisha mambo kwa ushabiki....tusifie kwa mazuri....tunajikweza sana watz na kudharau....na hatujui ushabiki hauna maana kwa familia zetu....mfano angali ooh sijawai enda nairobi au mtu anajisifia yy wa dar wakati kwao.kashozi...yap mm baba angu mkenya machakos na mama mpare....nimeishi kote unaposema naelewa ila ushabiki wa haunisaidii....tujenge nchi yetu kwa manufaa yetu sio comparison ambazo hazituletei tija....
hapo ndipo unaponihaivisha ndugu yangu.......eti dar haina masterplan ......nakuheshimu kwani ningekutukana aisee ....mimi nachoomba utoe fact na ulete source ya taifa ambayo inasema dar haina masterplan dah....we jamaa unazingua na kingine ni hivi hebu rudi kwenye mantiki ya hii thread anza na tittle kisha usome tulipoanzia na tulipoishia bado haujielewi....wew siyo mbongo.....ni mkenya hivyo hapa tutatukanana tu...bora upite tu ....ama uje na fact apa zenye uthibitisho
 
Wewe ni Mkenya. Nilishasema muda mrefu utatoa povu mpaka ukome.
Kwanza injinia gani huyu hajui hata kuandika!!?
Unaandika kama bata, halafu unajifanya injinia.
Maandishi hayana nukta hata koma. Yaani umeandika maelezo marefu kama sentensi moja.
Usijifanye designer wakati siyo. Jengo gani una design hebu lilete hapa tukione. Linaitwaje?
Nimekueleza toa ushamba wako hapa tutakutoa povu mpaka utakimbia. Namna ulivyoandika tu; ni proof tosha kiwango chako cha uelewa ni finyu mno, kama mtoto mdogo. Rudi shule ndio ulete maelezo humu. Halafu usijipe title ambayo huna. Hizo ni sifa za wajinga wenzako huko Kenya.
Hivi unazijua slums za Nairobi wewe au unaimba nyimbo tu. Ngoja nikuwekee hapa list:-
Dar hakuna uharo kama huo.
huyu jamaa anatuzingua mara mbongo mara mkenya sijui mama yake mpare baba yake mkenya mara msanifu wa majengo....yaan haeleweki na anachonifurahisha eti dar haina master plan....huu si upumbavu
 
huyu jamaa anatuzingua mara mbongo mara mkenya sijui mama yake mpare baba yake mkenya mara msanifu wa majengo....yaan haeleweki na anachonifurahisha eti dar haina master plan....huu si upumbavu
Ukimuuliza wapare wanaishi wapi anasema wanaishi Ujiji, wilaya ya Songea, mkoa wa Arusha.
Anazingua sana.
 
Wewe ni Mkenya. Nilishasema muda mrefu utatoa povu mpaka ukome.
Kwanza injinia gani huyu hajui hata kuandika!!?
Unaandika kama bata, halafu unajifanya injinia.
Maandishi hayana nukta hata koma. Yaani umeandika maelezo marefu kama sentensi moja.
Usijifanye designer wakati siyo. Jengo gani una design hebu lilete hapa tukione. Linaitwaje?
Nimekueleza toa ushamba wako hapa tutakutoa povu mpaka utakimbia. Namna ulivyoandika tu; ni proof tosha kiwango chako cha uelewa ni finyu mno, kama mtoto mdogo. Rudi shule ndio ulete maelezo humu. Halafu usijipe title ambayo huna. Hizo ni sifa za wajinga wenzako huko Kenya.
Hivi unazijua slums za Nairobi wewe au unaimba nyimbo tu. Ngoja nikuwekee hapa list:-
Dar hakuna uharo kama huo.
Sipo kwenye usahili au silipwi kwa kuandika...just namaliza bando...then sipo kubishana na ww au yeyote....unatoka kwa mada unaandika nonesence....pia tofautisha msanifu majengo na mhandisi,though all we learn engineering bt uwez muita architect kua ni engineer....then ur perception na zako na zangu are differ...unataka niandike km nipo darasani...ndo mana waishia kutukana bse ur mentality is poor....sipo kuprove your IQ bt is poor
 
Khaligraph Jones....attended his show last Sunday in westie....this guy is killing it
4406de70ed7f2e6344a6b4893b84c51e.jpg
d4b0dda2d87c7cd17b8276dce8517e32.jpg
a real rapper from kayole
 
Sipo kwenye usahili au silipwi kwa kuandika...just namaliza bando...then sipo kubishana na ww au yeyote....unatoka kwa mada unaandika nonesence....pia tofautisha msanifu majengo na mhandisi,though all we learn engineering bt uwez muita architect kua ni engineer....then ur perception na zako na zangu are differ...unataka niandike km nipo darasani...ndo mana waishia kutukana bse ur mentality is poor....sipo kuprove your IQ bt is poor
Hapo kwenye "Red" Tayari umejweka wazi wewe ni nani. Tangu mwanzo nimekueleza wewe ni mkenya, unapayuka tu. Nimekueleza utatoka povu mpaka uimbe wimbo wenu wa taifa.
Hujaleta fact yoyote hapa. Unakuja kuongea maneno mengi kama vile umemeza CD.
1. Leta facts za hayo unayoyasema.
2. Unakaa kimara! Kimara ipi unakaa?
3. Unazijua slums za Nairobi?
4. Je, umesoma document niliyokupatia?
5. Mama yako mpare wa wapi?
Kama huna majibu ya hayo niliyokuuliza basi kichwani utakuwa na upungufu wa ubongo.
 
Hapo kwenye "Red" Tayari umejweka wazi wewe ni nani. Tangu mwanzo nimekueleza wewe ni mkenya, unapayuka tu. Nimekueleza utatoka povu mpaka uimbe wimbo wenu wa taifa.
Hujaleta fact yoyote hapa. Unakuja kuongea maneno mengi kama vile umemeza CD.
1. Leta facts za hayo unayoyasema.
2. Unakaa kimara! Kimara ipi unakaa?
3. Unazijua slums za Nairobi?
4. Je, umesoma document niliyokupatia?
5. Mama yako mpare wa wapi?
Kama huna majibu ya hayo niliyokuuliza basi kichwani utakuwa na upungufu wa ubongo.
ha haa ati anakwambia anatoka kwa mada .....thiz iz devil iko kwa mtungi aisee hii chalii yajiita yakipare yapasa apewe knowledge ni matope sana akili zake
 
Asante sana sipo kubishana na ww au yeyote sio kuishi nimekulia huko...hembu ww lete hizo fact dar ya nane...tatizo watanzania mnajua kubishana kishabiki...tusaidie hizo source za 2016/2017
Aaahhhh kumbe uliishi uku
Ok
That meaning ulikuwa uku miaka ya zamani
Ok
Njoo tena ujionee ilivyobadirika
Umekaa nairobi ukijua dar hawafanyi marekebisho


Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu kaandika hapa dar ina master plan...akaleta sijui ile kigambon mpya....aende kigamboni now aone je wanaifata....leo morogoro road wanabomoa nyumba....
Kkoo haina mwelekeo....posta wanajengajenga...tuache ushabiki tujitahidi kujenga miji kwa mipango miji....dar ishakua kichefuchefu wajenge mikoa mingine tutafika.....
Dar hii sio chafu kama ile ulioiacha
Kuwa na akili kidogo

Jiulize barabara za mwendokasi wamejengaje kama kulikuwa hamna masterplan

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
kingine tembea kigamboni ......ingia ndani ndani ndyo utaijua kigamboni kuna miradi kadhaa inaendelea na kingine kuwa plan ni mipango sikwasababu master plan ipo ndyo useme leo ianze tofautisha project na master plan .......chochote kinachojengwa kigamboni kwa sasa na hata baadaye vipo kwenye master plan bro.....shtuka
Ashakwambia alikuwa anakaa uku
So hayupo uku
Kwann ubishane nae sasa
Istoshe alikuwa anakaa manzese au tandare

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom