Acha bana mnashindana nn...nai mnajua ni jiji la ngp africa....mm mtz ila dar haina master plan...haipo arranged....kuwa wazi na tuache ligi za kijinga.....nai ipo mbali sana compare na dar....tujijengee tu magorofa ila dar haipo arrangedNinasubiri jibu la kuhusu master plan ya jiji la Nairobi. Kisha tutaendelea. Hapa ni kutoa jibu la picha au reference document. Ukisema kwa maneno tu haina maana yoyote. Hata mimi hapa ninaweza kukuambia ni tajiri kuliko Dangote. Lakini kukiwepo na evidences ndio tunajua.
Ndo akili za watz wengi....hatuna fact ni ujinga.....hatujui nn maana ya social network....matusi na ujinga....nlitegemea hiliKenya mashoga wengi kuliko dsm
ichoboy naomba unisaidie kupata link ya pato la taifa kwa jumla kwa kila mkoa mwaka 2016/2016bongo
![]()
umewah ishi nairobi......?Acha bana mnashindana nn...nai mnajua ni jiji la ngp africa....mm mtz ila dar haina master plan...haipo arranged....kuwa wazi na tuache ligi za kijinga.....nai ipo mbali sana compare na dar....tujijengee tu magorofa ila dar haipo arranged