tatizo lako bwana msanifu .....wa majengo .......unaonyesha wew unaijua dar kupindukia......ha ha haaa yaan project zote zinazoendelea ni zipo kwenye masterplan ......cha kwanza elewa hvyo .....hapo nyuma tulikosea ila kwa sasa ni usawa mwanzo mwisho .......laiti dar ingekuwa kama haipo kwenye master plan hili jiji lingekuwa na uswazi katika kila eneo maeneo yote yangefanana na kuwa city yote unplanned......hebu linganisha dar ya nyuma na yasasa zinalingana...ni kuna maeneo tu kadhaa ambayo yanakuwa ovyo ambapo hata ukienda nairobi yapo tena zaidi ya huku.....nakingine wew waweza kuwa mbongo na nairobi haujawahi fika unaiona tu kwa picha ila sababu upo humu unajifanya unaijua na vilevile unaweza ukawa mkenya hafu unajifanya mbongo