Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

="Chamoto, post: 31336550, member: 8533"

Dah, kweli ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya ila ntamtetea jamaa hiyo ni Windows 7 japo kuwa nayo ni ya zamani pia.
Windows 7 si mbaya. Labda inamsuit yeye. Windows 7 has a better software compatibility than windows 10. Some believe iko na better interface. n.k
 
kikihboy πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
E4924910-7CE0-4466-A501-DE16AA79F22C.jpeg
E7418869-F8F6-4E11-B021-2920BA410EDA.jpeg
 
Hivi hawa nyang'au wangeandika tu sevilla inaenda Tanzania kungekua na ubaya gani hadi waanze kujiweka naxwao eti sevilla inaenda kwa jirani wa kenya,wapumbavu sana hawa mungiki
Screenshot_20190503-145123.jpeg
 
Hivi hawa nyang'au wangeandika tu sevilla inaenda Tanzania kungekua na ubaya gani hadi waanze kujiweka naxwao eti sevilla inaenda kwa jirani wa kenya,wapumbavu sana hawa mungikiView attachment 1088493
Hahahaha, hawataki kutoka kwenye spotlight, kwa taarifa yao sisi ndio the centre of attention this time
 
Back
Top Bottom