Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Street moja konde CBD imeisha,kwingine 2 ni sokoni
Ona hizo streets kupangika kaka
zadaluxi03rgno5805a923b6dbc.jpg
 
Kijana,hapa Kenya tuko self employment,, umewahi sikia kitu inaitwa SMEs,tumejaa huko
Niletee official link kua 40% wale ambao ni unemployed ni self employment na ukiniletea hio source mm nafunga jamii forum😆😆😆
 
Picture ya 1990s,tena hapo si CBD,hapo ni Ngara,hio camera inafanya CBD ionekane kama hizo area zmeshikana lakini la
Ona upper hill ata haikuwa imejengwa wakati huo,picture ya zamani sana ata hukuwa umezaliwa
PhotoEditor_20190503_100201543.jpg


Sasa hivi upper hill iko hivi
DrcnsGWX4AAgkkh.jpg
WrKUuHR.jpg
DMOIDNT.jpg
 
Ok
Hilo Jengo U/C ni UAP , Tuseme Hilo Jengo limejengwa 1990s? Wakati Britam pia Inafuatana na hilo Jengo, Picha Itakua ya mwaka 2014-15.
[/QUOTE
But issue hapa si mwaka,soma vile nime elezea hapo juu
 
Back
Top Bottom