kikihboy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,765
- 3,070
So wadhani Nairobi imesimama๐
So wadhani Nairobi imesimama๐
Zungumzia mambo yanayokuza uchumi, sio majumba marefu ya watu binafsi ambayo hayawagusi wananchi wa kawaida walio wengiSo wadhani Nairobi imesimama
Kilimani ni utumbo bado ๐๐๐alaf munataka pambana na darKilimani we waiona kweli??
westlands yote waiona kweli??
๐๐ ๐
Joto LA jiwe usijihangaishe na hao nyang'aus wacha waendelee kulala na wimbo wao wa GDP wakija kuamka watashangaa Tz tutavowaonesha maana halisi ya uchumiZungumzia mambo yanayokuza uchumi, sio majumba marefu ya watu binafsi ambayo hayawagusi wananchi wa kawaida walio wengi
Bado sana jengeni mufikie walau nusu ya darSo wadhani Nairobi imesimama๐
unatuzingua
Kilimani babaKilimani ni utumbo bado ๐๐๐alaf munataka pambana na dar
Hivi huo ujinga wa kushabikia majengo wakati hayana faida kwa wananchi wa kawaida mtaacha lini???
Wakenya wengi wapo kazi hapo ndani babaHivi huo ujinga wa kushabikia majengo wakati hayana faida kwa wananchi wa kawaida mtaacha lini???
Hivi wakenya mnajua maana ya inclusive economy??
Majumba haya marefu wakimalizika kujengwa yatakuwa na hoteli,malls,offices,, na hivyo divyo yatasaidia wananchi kwakuwa watapata kazi humoZungumzia mambo yanayokuza uchumi, sio majumba marefu ya watu binafsi ambayo hayawagusi wananchi wa kawaida walio wengi
Nusu gani,ya unplanned houses ama?Bado sana jengeni mufikie walau nusu ya dar
unamaanisha wananchi wa njeMajumba haya marefu wakimalizika kujengwa yatakuwa na hoteli,malls,offices,, na hivyo divyo yatasaidia wananchi kwakuwa watapata kazi humo
Wakenya,hakuna wa nje watapata kazi Kenya,Kenyans come firstunamaanisha wananchi wa nje
ah wapi, nairobi foreigners ndo wamejaza job positionsWakenya,hakuna wa nje watapata kazi Kenya,Kenyans come first
We fika Nairobi ujioneeah wapi, nairobi foreigners ndo wamejaza job positions
nimetoka nairobi juzi tu hapa huwezi niambia loloteWe fika Nairobi ujionee
US nimeishi, tafadhali usiharibu majina ya nchi za watuHapa si USA,,Nairobeb,,
View attachment 1086449
OK,niletee link inayo onyesha kuwa kazi nyingi hapa Nairobi zimemilikiwa na foreignersnimetoka nairobi juzi tu hapa
Sasa we waleta picha ambazo zilipigwa wakati Barbara ilikuwa imeharibiwa na mvua umaanishe nini?? Sasa hivi hii barabara iko sawa kabsa,hawkers walitolewa jijini kitambo,,US nimeishi, tafadhali usiharibu majina ya nchi za watuView attachment 1086452View attachment 1086453View attachment 1086454View attachment 1086455