Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa we waleta picha ambazo zilipigwa wakati Barbara ilikuwa imeharibiwa na mvua umaanishe nini?? Sasa hivi hii barabara iko sawa kabsa,hawkers walitolewa jijini kitambo,,
hahahaha kawadanganye watoto, you can never escape from reality and that is the reality of nairobians. It's not skyscrapers, Versace, Chanel and Dior, unemployment kubwa imejaa, inflation, hunger, insecurity, high crime rate. Yaani foreigners na rich people ndo wanaishi kwa raha kenya sio vinginevyo
 
Usa hawana vitu substandard kama hivi,
Hii ndio USA jaribu kujionea aibu
houston_highway.jpg
 
Majumba haya marefu wakimalizika kujengwa yatakuwa na hoteli,malls,offices,, na hivyo divyo yatasaidia wananchi kwakuwa watapata kazi humo
Hahahahaha, Kenya uchumi wake hutegemea KILIMO, Communication sector, manufacturing, and Financial sector, huko kwengine ni kujidanganya tu.
 
Kwa kuwakumbusha tu๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
BRT ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
68E24EAD-34CB-4FC1-9AB5-B518C9474494.jpeg
49D54AEA-D5B5-43C3-AD67-615312EC6ECA.jpeg
DFD87CC8-B8DC-4D76-8F04-8A84067A3813.jpeg
0AD253A3-8A7E-42D4-A585-152F08800ECB.jpeg
9381FC16-4B12-42FD-865B-7A3756022F38.jpeg
3126D59E-A24D-4124-94E6-32B769547C90.jpeg








BRT south africa๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
72227307-3EC4-49AC-85BA-7A89ED1B08D1.jpeg
8B399717-6282-4137-96F6-DA22A184774A.jpeg










BRT failed state๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
94D08277-CC86-4925-B70A-4A39EDB87D5C.jpeg
3569EAED-6007-4C93-8707-468F70CA9595.jpeg
 
Back
Top Bottom