Bantugbro
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 4,476
- 4,250
Mkuu,Noma sana , Hawa wadudu niliwaona walipita baada ya wale wenye Pua flat. Walipita baada ya kugeuza shingo sijawaona🤣
View attachment 1078035
Uliwaona wanapita wapi?
Mkuu,Noma sana , Hawa wadudu niliwaona walipita baada ya wale wenye Pua flat. Walipita baada ya kugeuza shingo sijawaona🤣
View attachment 1078035
Mkuu,
Uliwaona wanapita wapi?
Teyari kuna hiyo miundombinu ipo reli ya metre gauge kutoka bandarini, kama ukiwa gerezani st kwenda bandarini st pale kwenye mzunguko mbele yake kuna daraja, chini yake kuna reli.
Nilivyosikia reli hii ya SGR, mabehewa ya mizigo yataanzia pwani ambapo kutakuwa na bandari kavu, kwahiyo mizigo kutoka bandarini na kwingineko itakusanywa kidogo kidogo na kupelekwa kibaha kwa kutumia reli ya zamani ya meter gauge ndipo ikusanywe na kuanza safari.
View attachment 1077261
View attachment 1077245
It's my old xul back in 2000Nilikua class mkuu Ben mkapa, walipita wenye pua flat wakafuatiwa na hawa . Nadhani kulikua na mazoezi ya maadhimisho kama Sio muungano Au sherehe gani. Zilipita chichi sana zikitokea upande ilipo China plaza kwa sasa.
Naelewa maboresho hayo kuhusu BRT na kulijenga upya daraja la gerezani ila sikuwa na uhakika kama watajenga reli ya SGR pia. Kumbuka SGR ipo juu maeneo yale sasa sijui kama kuna nafasi ya kuweka line nyingine chini kwaajili ya reli ya mizigo mpaka buguruni pale ile inayotoka stesheni itakapo shuka.Si sahihi, umeshasahau ni juzi tu JICA wamesaini mkataba wa kupanua daraja la Gerezani kwa sabbat ya BRT juu na SGR chini.
Daraja litakuwa na urefu wa mita 40 na upana wa mita 30 nahis inawezekana kuna uwezo wa kuweka line zaid ya tano ... Ukizingatia na kwamba upana wa reli ni mita 1.5 kwa SGR kwa urefu wa mita 40 itatosha ..sema nahis litakuwa tayar 2022 probablyNaelewa maboresho hayo kuhusu BRT na kulijenga upya daraja la gerezani ila sikuwa na uhakika kama watajenga reli ya SGR pia. Kumbuka SGR ipo juu maeneo yale sasa sijui kama kuna nafasi ya kuweka line nyingine chini kwaajili ya reli ya mizigo mpaka buguruni pale ile inayotoka stesheni itakapo shuka.
Sidhani mkataba na Yapi utaunganisha reli mpaka bandarini ila baadae tunaweza jenga wenyewe..Daraja litakuwa na urefu wa mita 40 na upana wa mita 30 nahis inawezekana kuna uwezo wa kuweka line zaid ya tano ... Ukizingatia na kwamba upana wa reli ni mita 1.5 kwa SGR kwa urefu wa mita 40 itatosha ..sema nahis litakuwa tayar 2022 probably
Because nairobi imeshindwa vibaya
May be mombasa inaweza jaribu
Hivi hii ndio original design au? maana kuna ile nyingine tenaBaada ya kukamilika Salender bridge
View attachment 1078451
Mbona hakuna dalili ya toleo la kwenda bandarini katika daraja la sgr la kwenda station kuuSi sahihi, umeshasahau ni juzi tu JICA wamesaini mkataba wa kupanua daraja la Gerezani kwa sabbat ya BRT juu na SGR chini.
Weka pia bandiko hili jukwaa la tech, zamani tulikuwa tuna discuss mambo ya physics/engineering/programming ila siku hizi naona ni simu tuu.Jamani enhh nauza iphone X 256gb full boxed pamoja na ( apple watch) iwatch sport series full boxed
😆😆😆😆😆Weka pia bandiko hili jukwaa la tech, zamani tulikuwa tuna discuss mambo ya physics/engineering/programming ila siku hizi naona ni simu tuu.
Jamani enhh nauza iphone X 256gb full boxed pamoja na ( apple watch) iwatch sport series full boxedView attachment 1078514View attachment 1078515View attachment 1078512View attachment 1078513
😆😆😆 2m iphone x na i watch 350kOngea Bei, ila ningependa space gray !
aisee hiyo kitu ni konki zaidi ya mastaNoma sana , Hawa wadudu niliwaona walipita baada ya wale wenye Pua flat. Walipita baada ya kugeuza shingo sijawaona
View attachment 1078035
kweli idea hapo nishaiweka kazi kwa wadau wanaoweza kuliona hili na kulifikishaKabisa, wenye kuweza wamkumbushe Magu kuhusu hili
Weka pia bandiko hili jukwaa la tech, zamani tulikuwa tuna discuss mambo ya physics/engineering/programming ila siku hizi naona ni simu tuu.