Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

D4c1F2VXkAEMAlh.jpeg
 
Hivi wanajamvi niulize kwani sgr ya kwenda bandarini dar itapita wapi maana sioni mwelekeo wake
Teyari kuna hiyo miundombinu ipo reli ya metre gauge kutoka bandarini, kama ukiwa gerezani st kwenda bandarini st pale kwenye mzunguko mbele yake kuna daraja, chini yake kuna reli.

Nilivyosikia reli hii ya SGR, mabehewa ya mizigo yataanzia pwani ambapo kutakuwa na bandari kavu, kwahiyo mizigo kutoka bandarini na kwingineko itakusanywa kidogo kidogo na kupelekwa kibaha kwa kutumia reli ya zamani ya meter gauge ndipo ikusanywe na kuanza safari.

Screenshot_2019-04-21 Google Maps(1).png


Screenshot_2019-04-21 Google Maps.png
 
Back
Top Bottom