Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ujenzi wa stendi ya mabasi wilaya ya njombe๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
00F4C020-D24D-41E0-925F-5E761F1CECDA.jpeg
 
shua yaani serikali inabidi waingalie sana hiyo airport iwe yakisasa sababu inaingiza sana mapato na nafasi ipo ...

pale wakipiga desgning moja matata yaani jengo linakuwa muundo wa kama mlima kilimanjaro ndani full sanamu za wanyama aiseee itakuwa ni matata hatari,,,,na siku moja moja dressing za wahudumu zinavaliwa kimasai aisee inakuwa ni bonge la culture

Kabisa, wenye kuweza wamkumbushe Magu kuhusu hili
 
Back
Top Bottom