Hadi kufikia December tanzanite itakua imeshafahamika hua ni ya nchi ganiShamba la bibi is over
Hicho ni kiwembe ndugu๐๐๐Noma sana , Hawa wadudu niliwaona walipita baada ya wale wenye Pua flat. Walipita baada ya kugeuza shingo sijawaona๐คฃ
View attachment 1078035
Cha ajabu hua wanajiona wajanja kwelikweli wakisikia habari kama hiziKumekucha kenya, taabu iko palepale
shua yaani serikali inabidi waingalie sana hiyo airport iwe yakisasa sababu inaingiza sana mapato na nafasi ipo ...
pale wakipiga desgning moja matata yaani jengo linakuwa muundo wa kama mlima kilimanjaro ndani full sanamu za wanyama aiseee itakuwa ni matata hatari,,,,na siku moja moja dressing za wahudumu zinavaliwa kimasai aisee inakuwa ni bonge la culture
Failed state with fake GDP๐๐๐๐
Asante magufuli na huyo aliekamatwa aswekwe jela miaka 15 akanyee debe
725b ksh zimekopwa na kutumiaka bila bunge na serekali kujua๐๐๐๐๐๐๐
Alaf mtu anakwambia GDP hajui kama GDP imejumlisha loan zote walizokopa
I hope BOT wamesikia maagizo ya rais na wameanzisha reserve ya Gold na TanzaniteHadi kufikia December tanzanite itakua imeshafahamika hua ni ya nchi gani
Kumbe wapo hawa ?Noma sana , Hawa wadudu niliwaona walipita baada ya wale wenye Pua flat. Walipita baada ya kugeuza shingo sijawaona๐คฃ
View attachment 1078035
umesoma hao marehemu wa ajali arusha, gazeti limeandikwa ni wakenya.725b ksh zimekopwa na kutumiaka bila bunge na serekali kujua
Alaf mtu anakwambia GDP hajui kama GDP imejumlisha loan zote walizokopa