Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘ Kenya unaeza kuta ni 10%πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


10% wapi wakati the kenyattas own enough land to setle 20 ml kenyans😡😡😡 not to mention Mama Ngina's networth of $1 billion, I'm sure watoto wa uhuru wataitawala kenya tena wale mabilioni waongeze family's net worth
#only in kenya
#kenya is doomed
 
Nonono, it's not Malibu, CA, it's Masaki,DSM
2019-04-05.jpg
C2XGo80WgAAMM8C.jpg
 
Waliomba mvua wakasingizia mvua imezuiliwa tanzania sasa mvua imekuja wanakunja sura zaoπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

 
Kesho na keshokutwa utawasikia nyang'au washambadilisha uraia na kudai anatokea kunyaland kama wanavyofanya kwa wanamuziki wetu
Swaga hzo zilishafeli dunia hii utamdanganya nani hata mtoto wa miaka miwili huwezi mdanganyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Safi sana uganda πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘‡πŸ‘‡ kifo cha kq kimewadia sasa ....6 yrs loss with only 3 aircrafts πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

 
Mbona hakuna dalili ya toleo la kwenda bandarini katika daraja la sgr la kwenda station kuu
Treni ya mizigo toka bandarini haipiti kule kwenye eneo la jengo la stesheni kuu, hata hii narrow gauge ya mizigo iliyopo inapotokea badarini hua haiingii moja kwa moja pale jengoni.

Ili kuondoa usumbufu kwa abria pale stesheni na ucheleweshaji wa mizigo, treni ya mizigo ina-shunt moja kwa moja toka bandarini na ku-bypass stesheni kuu, toleo lake litakua mbele kidogo pale viaduct kubwa ya SGR kuingilia stesheni kuu linapoanzia nadhani ni eneo la Mtaa wa Utete. So gogo la mizigo halitapita juu ya lile viaduct kubwa (the 2 km one).

Kwa ujumla SGR toka Dar es salaam kuanzia steheni kuu na eneo la badarini kuelekea nje ya jiji, design inaonyesha kutajengwa jumla ya viaducts 4, ile kubwa ya urefu wa km 2 pamoja na nyingine ndogo ndogo 3, ya mwisho kabisa itakua na urefu wa kama mita 100 hivi.
 
Back
Top Bottom