ndughuri msuya
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 2,065
- 3,218
Itaongeza gharama za kushusha na kupakia kwa mizigoAisee hii ni blunder takatifu kama haifiki bandarini!
Itaongeza gharama za kushusha na kupakia kwa mizigoAisee hii ni blunder takatifu kama haifiki bandarini!
Picha ya chini ni Kinshasa.Ya juu Moroko kabla yale majengo hayajaisha
hawakopesheki. ni Mzigo 😂😂Kwa nini wasiende kuomba benki ya maendeleo ya Afrika?🙂
hapo tupo vizuri sijapita huko mda mreefu sanaNyingi sana bro watu wamejenga hatari![]()
Haha bado wachina 10,000 tena hao tunawafuata wenyewe...dreamliner inakazi ya kufanya hapo...Badae utaskia wanakwambia walipitia nairobi
Mwaka jana wamefika 2m mwaka huu tutegemee 2.5million people👏👏👏 income itasoma 3b safari hiiHaha bado wachina 10,000 tena hao tunawafuata wenyewe...dreamliner inakazi ya kufanya hapo...
Bila kua serious hatuwez kutoboa ujue...lakini kwa mwendo huu wale wageni 2M wanaweza kufika...income lazima isome $3bn
Hii nchi sijui nani aliroga😆😆😆👇👇
Because nairobi imeshindwa vibayaDar should be compared to Mombasa, Not Nairobi
ha haaaaaBadae utaskia wanakwambia walipitia nairobi
sema huu uwanja inabidi tuufanye uwe wakisasa zaidi kuna vitu yapaswa vifanyike kiujenzi zaidi na desgning yake yapaswa iwe yakitalii zaidi kinuonekano .....maana unatuingizia mapato aisee
Waweke kitu zaidi ya terminal 3 ya Dar, I know mbeleni Mungu akipenda tunaweza hata kuunganisha JNIA kwa maglev train hadi city centre, we just need funds.sema huu uwanja inabidi tuufanye uwe wakisasa zaidi kuna vitu yapaswa vifanyike kiujenzi zaidi na desgning yake yapaswa iwe yakitalii zaidi kinuonekano .....maana unatuingizia mapato aisee
shua yaani serikali inabidi waingalie sana hiyo airport iwe yakisasa sababu inaingiza sana mapato na nafasi ipo ...Waweke kitu zaidi ya terminal 3 ya Dar, I know mbeleni Mungu akipenda tunaweza hata kuunganisha JNIA kwa maglev hadi city center, we just need funds.