Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sure, ujinga na uzumbukuku wa mkenya ni pale anapoforce kuwa Tz kuna njaa na ilhali hakuna sehemu hata moja wanaokufa kwa njaa na zaidi ni kuwa tunasaidia na majirani zetu, task kubwa tunayoikamilisha now nikuongeza vituo vya afya na madawa.

Jamani wakenya muipate hii: Hakuna mtanzania anaekufa kwa njaa, dawa zenyewe hawakosi sembuse chakula?
 
aliyeandika "house for sale in tabata" si ni mkaazi wa Dar? Sio mimi nilipost, ni mtanzania mwenzako. Endeleeni Kukana Jiji lenu. Tushawazoea hata
hapo mapicha yamejichanganya sasa kwa akili yako hapo kati ya hizo ni nyumba gani inayouzwa...?.. wacha kujihaibisha hata ukigoogle mara nyingi picha za dar unazikuta nairobi wakati mazingira halisi ni dar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapo mapicha yamejichanganya sasa kwa akili yako hapo kati ya hizo ni nyumba gani inayouzwa...?.. wacha kujihaibisha hata ukigoogle mara nyingi picha za dar unazikuta nairobi wakati mazingira halisi ni dar

Sent using Jamii Forums mobile app
masters of denial. even your own government is denying data on anything affecting the common Tanzanian. About the picture, that's a screenshot you dunderhead. The focus is one the main bigger picture on that screenshot. Mona mambo rahisi mnashindwa kuelewa?
 
Nashangaa mzungu wa africa huwezi elewa english dar is fishing village historically,sometimes london is described as a fishing village too

We always teach you,
Sasa Wewe mtanzania uniambie sielewi Kiingereza? Tangu lini?
 
Nashangaa mzungu wa africa huwezi elewa english dar is fishing village historically,sometimes london is described as a fishing village too

We always teach you,
Wewe labda tu unifundishe jinsi ya kuandaa mchuzi wa albino
 
Iyo barabara kutoka tengeru hadi holili njia nne...ikifika pale njia panda ya kwenda KIA Inaenda hadi uwanjani....manake kutoka Arusha-Moshi-Holili itakua njia nne...highway moja ndefu sana ni zaidi ya 100km hapo....

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana njia nne n kutoka pale tengeru mpaka usa river inaenda kuunganishwa na arusha by pass kama km 8.4


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sure, ujinga na uzumbukuku wa mkenya ni pale anapoforce kuwa Tz kuna njaa na ilhali hakuna sehemu hata moja wanaokufa kwa njaa na zaidi ni kuwa tunasaidia na majirani zetu, task kubwa tunayoikamilisha now nikuongeza vituo vya afya na madawa.

Jamani wakenya muipate hii: Hakuna mtanzania anaekufa kwa njaa, dawa zenyewe hawakosi sembuse chakula?
Tena Tanzania hiyo less than 30% hawaishi chini ya poverty line bali under 2 USD sasa hiyo pesa ukiileta bongo ni zaidi ya 5000 ambapo wengi wao wapo vijijini kilo ya unga ni chini ya buku 1000 anabaki na buku 4000 aamue akanunue nyama au kuku amalize siku

Huko Kenya hiyo pesa haitoshi hata kilo moja ya unga wakati Tanzania hiyo pesa inanunua mazaga kibao iwe mjini iwe kijijini bado ni pesa nyingi 😁😁😁
 
masters of denial. even your own government is denying data on anything affecting the common Tanzanian. About the picture, that's a screenshot you dunderhead. The focus is one the main bigger picture on that screenshot. Mona mambo rahisi mnashindwa kuelewa?
hauelewi kitu ila hizi takataka,daah kwa kweli hatufanani tupo tofauti too much shit ni watu mlio nyuma sana ila mnajikingia kifua kwa kujifariji,,,,yaani hayo maeneo hata chizi wa bongo hawezi randaranda ,,na hata maiti ikifia hapo endapo akiwa ni mtazania lazima maiti itajiamisha kimiujiza kitafuta best place
images%20(13).jpeg
the-kenyan-slum-of-mathare-only-five-km-from-nairobi-city-centre-mathare-D3WEBG.jpeg
images%20(7).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Being selective in your posts won't save your sorry state if afairs Mr tabata.
Tabata 👇👇👇🤣🤣
View attachment 1073934View attachment 1073935View attachment 1073936
And by the way why did you just decide to focus on Tabata alone while I mentioned many other estates in my post? What about Buguruni, Chang'ombe, Sinza,Gongo la Mboto, Mwananyamala, Vingunguti, Ilala, Mabibo, Temeke, Tandika? Ama hizo sio mitaa za Dar?
Usishangae ndugu yangu...eti kani quote na kunishow hao mabata wapo wengi hadi hawaez chukuliwa katika picha moja....nilishangaa sana kwenda google...mpka mwengine kaandika house for sale in vibata...
Katuma picha mbil...moja ya umbali kidgo na ya pili li gate...yani kule wasitudanganye...majority wanaishikatikazle nyumba zao za uswazy...aka dream houses....

Mtaa unakuwa na nyumba mbili tatu za geti...alfu kwengine ni shanty houses...ukwel hawaupendi...mi huaga nawambia km zile uswazy ndio middle class zao...wao bado...manake kila pahali zipo tu...bwahaaaa
 
Back
Top Bottom