kuna sehemu nyingi tu huwa ni middle class na vile vile kuna upper class,mfano tabata ni kubwa kuliko hivyo vibanda vyenu na imejigawa mara 6 zaidi,tabata ni sehemu ambayo ina tabaka mbili yaani ina middle na upper ,,hivyo baadhi ya maeneo yetu mengi ya makazi yamejicategorize
unaweza kuta sehemu moja ina vitongoji vyake nakutolea mfano wa hiyo hiyo tabata,tabata imejigawa kama ifuatavyo
1.Tabata Bima
2.Tabata Chang'ombe
3.Tabata Segerea
4.Tabata Liwiti
5.Tabata Balakuda
6.Tabata Kimanga,n.k
najua nakuelekeza mtu ambaye ni kilaza hapo najaribu kukuonyesha ili ujue ni jinsi gani tabata ni kubwa vile vile tabata 99% ipo planned na ni kubwa sana hizi ni moja ya sehemu ya mazingira ya tabata yanavyoonekana kimakazi,na hauwezi pata aerial view ya pamoja ya tabata kwani ni kubwa kuliko mkusanyiko wote wa hizo estate zenu na hampawezi hata robo
TABATA







View attachment 1073730View attachment 1073731
Sent using
Jamii Forums mobile app