Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Soma hiyo. SGR Morocco Street - DSM
1071917


1071918


1071919
 
unafanya nini Nairobi. I thought dar no mambo. kumbe kuna huduma zinging muhimu lazima upate tu Nairobi!!!
we si mbwa tu usiyejua hata maana ya biashara ni nini? usikute kwa njia moja nakupa hata ela ya chakula wewe. Nimekuja naiorobi kuexpand sasa wewe endelea na mdomo mchafu mchafu usikute hata lunch hujapata. Eti nimekuja kupata huduma, unadhani mi nahitaji immediate help from the WFP kama wewe?
 
currency na gdp eti si kitu...$1=tsh2450...
gdp usa more than $5trillion km sikosei..
tanzania gdp $61bln...

currency na gdp si kitu bwana...tanzania wanadaiwa hela ndogo kuliko USA...huaga wanatumia pesa za ndani...tanzania hamna watu wanaolala nje km USA(homeless)...uchumi wa tanzania wanaoujuwa ni watanzania...tanzania ni bora kuliko USA...manake gdp ya usa na currency yao ni ya watu flani..lkn kiuhalisia usa mtu anaeza chukua bunduki na kuuwa watu..tanzania ni kisiwa cha amani bana...

USA NA CHINA hawafui dafu kw uchumi na maendeleo...

BWAHAHAAAAA....

nasubiria drawn view ya sgr...wala si vile viporo mkaweka hapa ya zile nguzo na ile mitaro hapa...msidhani tumezisahau picha...
hzo za dara kwanza ni vipande vipande...manina..mturuki nyorosha hawa wajinga bana...wajengee choo kingine morogoro...
soon tunatest mtambo,jana tulikua tunaunga reli,sasa wewe jidanganye hapo kibera eti sgr yetu imesimama
 
Wewe utabaki kuwa mjinga siku zote maishani mwako. Kila county ina waziri wake? 👉👌 haha!!!!!!! so county ya nairoberry ina waziri wa fedha, ina waziri wa ardhi, ina waziri wa elimu? uwe mwelewa au utaaibika humu mpaka basi. Sijifanyi mjuaji ila NINAJUA ninachokiongea coz US nimeishi na Canada kwa muda mfupi kwa hiyo najua ninachozungumza sasa wewe unayeishi kwenye nchi ambayo hata hujui inaendaje sijui nikuchukulieje? anyway, it seems stupidity runs in the nation
Niliona uliweka picha fulani eti uko Kule maeneo ya hub Karen (of which I really doubt). Kama ni kweli uko Nairobi, iweje hujui kwamba county ya Nairobi ina mawaziri kivyake? Mnajifanya mnajua Sana Kenya nakujihusisha na mambo yetu wakati za kwenu zimewashinda mnakuja kutafuta hifadhi kenya. Hakuna siku Giza na mwangaza zitashikana ziwe kitu kimoja. Keep to your lanes bru!!
 
😂😂😂😂👇👇👇👇


Have you ever traveled by air before? I really doubt. Kama umewahi safiri na ndege and you had to connect a flight, ungejua haha ni mambo ya kawaida Sana. People sleep in airports from Heathrow to JF Kennedy to Oliver Tambo and many other airports around the globe while waiting for a connecting flight. Lakini kwako wewe Kijana wa Tandale, hayo ni mambo ya ajabu yenye haijawahi tokea. Toka njee ya mazense uone dunia. The world does not start and end at Mbagala
 
Back
Top Bottom