Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Have you ever traveled by air before? I really doubt. Kama umewahi safiri na ndege and you had to connect a flight, ungejua haha ni mambo ya kawaida Sana. People sleep in airports from Heathrow to JF Kennedy to Oliver Tambo and many other airports around the globe while waiting for a connecting flight. Lakini kwako wewe Kijana wa Tandale, hayo ni mambo ya ajabu yenye haijawahi tokea. Toka njee ya mazense uone dunia. The world does not start and end at Mbagala
Budaa uone hata aibu basi, wachezaji wanaenda kuiwakilisha nchi wanalala chini ya viti? Hata mabara mengine wakisikia wataishusha thamani ccf
 
we si mbwa tu usiyejua hata maana ya biashara ni nini? usikute kwa njia moja nakupa hata ela ya chakula wewe. Nimekuja naiorobi kuexpand sasa wewe endelea na mdomo mchafu mchafu usikute hata lunch hujapata. Eti nimekuja kupata huduma, unadhani mi nahitaji immediate help from the WFP kama wewe?
Wewe unipe hela ya chakula??? Hahaha... Hiyo hela unataka kunipa pita nayo pale Tom Mboya Street na Moi Avenue uwape wale ombaomba wenu waliovamia barabara zetu kama nzige. Utakuwa umesaidia mtanzania mwenzako. Mimi sihitaji usaidizi ila wao wanahitaji
 
Niliona uliweka picha fulani eti uko Kule maeneo ya hub Karen (of which I really doubt). Kama ni kweli uko Nairobi, iweje hujui kwamba county ya Nairobi ina mawaziri kivyake? Mnajifanya mnajua Sana Kenya nakujihusisha na mambo yetu wakati za kwenu zimewashinda mnakuja kutafuta hifadhi kenya. Hakuna siku Giza na mwangaza zitashikana ziwe kitu kimoja. Keep to your lanes bru!!
we akili fyatu, sijaja kwenu kufanya siasa kunya sawa! stay in your lane, fata yanayokuhusu! unaniharibia afternoon yangu kwa maswali na comments za kipumbavu sana. Na nilikwambia uniletee hao "ministers" wa nairobi sio CECMs, kama huelewi maana ya ministers, kaa kimya
 
Wewe unipe hela ya chakula??? Hahaha... Hiyo hela unataka kunipa pita nayo pale Tom Mboya Street na Moi Avenue uwape wale ombaomba wenu waliovamia barabara zetu kama nzige. Utakuwa umesaidia mtanzania mwenzako. Mimi sihitaji usaidizi ila wao wanahitaji
kawaida wengi muda huu wamepumzika baada ya kazi ila wewe umekazana kuichukia Tanzania coz ndilo jambo pekee linalokupunguzia njaa kuspend time humu kwenye hii thread
 
Angelia ulivyo mjinga. Everyone knows Nairobi is a mainland city, mambo us Baha'i inatoka wapi? Umenikumbusha hapo awali mjinga wenu kwenye hii thread alivyokuwa akitamba eti dar iko na bahari then anataka tumuonyesha Bahari ya Nairobi ilipo. Mazuzu ni wengi sana haha wewe ukiwa moja wao
Hicho kidimbwi unavyokitupia tupia kusimulate bahari hadi huruma 😀😀😀
 
kawaida wengi muda huu wamepumzika baada ya kazi ila wewe umekazana kuichukia Tanzania coz ndilo jambo pekee linalokupunguzia njaa kuspend time humu kwenye hii thread
Na wewe unafanya nini hapa wakati Kama hiuu Kama sio kuchukia Kenya? Jiangalie wewe mbongolala jitu kutoka Mbagala. Usisahau kupitia pale Tom Mboya Street angalau uwape wenzako moyoKatika harakati zao za kuhustle na uwape angalau shilingi kumi. Watashukuru sana
 
Angelia ulivyo mjinga. Everyone knows Nairobi is a mainland city, mambo us Baha'i inatoka wapi? Umenikumbusha hapo awali mjinga wenu kwenye hii thread alivyokuwa akitamba eti dar iko na bahari then anataka tumuonyesha Bahari ya Nairobi ilipo. Mazuzu ni wengi sana haha wewe ukiwa moja wao
Ila wewe unahitaji maombezi. Hajasema nairobi kuna bahari, amesema hicho kidimbwi mnasimulate bahari.
 
Na wewe unafanya nini hapa wakati Kama hiuu Kama sio kuchukia Kenya? Jiangalie wewe mbongolala jitu kutoka Mbagala. Usisahau kupitia pale Tom Mboya Street angalau uwape wenzako moyoKatika harakati zao za kuhustle na uwape angalau shilingi kumi. Watashukuru sana
Sina chuki juu ya kenya, ninawakosoa kwa ubovu na uozo wenu, ni vitu viwili tofauti, chuki unayo wewe, vitu vidogo ambavyo havina hata umuhimu unavibadilisha kuwa chuki, kwa taarifa yako, dua la kuku halimpati mwewe, utatukana,utaenda hata kujiua, tupo up up up up
 
That's what they are called wewe mdanganyika. Tatizo lako lipi? And for your information, we don't have ministers in Kenya. We have CABINET SECRETARIES. Hiyo ya uminister taliwaachia. Umesikia Kijana wa Mbagala? So yes, we have cabinet secretaries at the national government and County Executive Committee (CEC) at ALL the devolved units aka counties. Umefurahi sass?
we akili fyatu, sijaja kwenu kufanya siasa kunya sawa! stay in your lane, fata yanayokuhusu! unaniharibia afternoon yangu kwa maswali na comments za kipumbavu sana. Na nilikwambia uniletee hao "ministers" wa nairobi sio CECMs, kama huelewi maana ya ministers, kaa kimya
 
That's what they are called wewe mdanganyika. Tatizo lako lipi? And for your information, we don't have ministers in Kenya. We have CABINET SECRETARIES. Hiyo ya uminister taliwaachia. Umesikia Kijana wa Mbagala? So yes, we have cabinet secretaries at the national government and County Executive Committee (CEC) at ALL the devolved units aka counties. Umefurahi sass?
Then this makes you stupid because I perfectly remember you telling me that nairobi county has ministers, you are backstabbing yourself! tafuta mtu mwingine wa kubishana naye, siwezi kuendelea kubishana na mtu asiyejielewa
 
Chukua selfie,
Hivi hunielewi? sitaki ujue identity yangu na location yangu! If ni trust issues, I do not care if you think I'm in nairobi or not, I came here to do my businesses and not to play games or impress anyone.
 
Back
Top Bottom