Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Siku hizi sgr ilikwana hata kiherehere kimekwisha.
Yaani wewe ni mfano wa wale watu wanaoambiwa "usimtukane mamba hujavuka mto", nyie si mliondoka, unafanya nini hapa? na the fact that unasema haya ni kwamba huwa ni mfuatiliaji mkubwa sana wa hii thread😛💣💉💊, aibu yako! Ujenzi wa SGR unaendelea tena vizuri sana. Video zinazopostiwa hapa ni very helpful kwa ajili ya kujua progress, I suggest you watch them first before shaming yourself
 
Yaani wewe ni mfano wa wale watu wanaoambiwa "usimtukane mamba hujavuka mto", nyie si mliondoka, unafanya nini hapa? na the fact that unasema haya ni kwamba huwa ni mfuatiliaji mkubwa sana wa hii thread😛💣💉💊, aibu yako! Ujenzi wa SGR unaendelea tena vizuri sana. Video zinazopostiwa hapa ni very helpful kwa ajili ya kujua progress, I suggest you watch them first before shaming yourself
wacha urongo wewe ...sgr inapumulia mashine...imekwama...tangu mwaka uanze 45%
 
Green Dar
D37-UdSU8AIJgFL.jpg
 
Yaani wewe ni mfano wa wale watu wanaoambiwa "usimtukane mamba hujavuka mto", nyie si mliondoka, unafanya nini hapa? na the fact that unasema haya ni kwamba huwa ni mfuatiliaji mkubwa sana wa hii thread😛[emoji378][emoji382][emoji381], aibu yako! Ujenzi wa SGR unaendelea tena vizuri sana. Video zinazopostiwa hapa ni very helpful kwa ajili ya kujua progress, I suggest you watch them first before shaming yourself
Pesa ya kula tu, ni taabu. ya bundle ni assignment.
 
Back
Top Bottom