kiwiko
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 1,341
- 2,220
Ni kitu kile kile ila majina ya vyeo ndo tofauti.woooiiii..unataka kulinganisha county na halmashauri...poor guy...
county zina bunge lake,spika wake,MCAs ambao ndio wabunge wa kaunti,county representative(gavana)...
unaniletea story za halamashauri sijui mwenye kiti,diwanisijui mjumbe....mifumo ya kikokoloni hyo...
bwahaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app