ππππππππ
Unajua ukweli ni nini, its sponsored by sportpesa a Kenyan company, yani tumewaurumia,
ππππππππ
Hamuwezi ikwepa hii thread walikuwepo wenzako kama ww wakina wanjala πππ walishindwa hii thread imewatia aibu kubwa sana na lazma muipitie kujua sasa sio ile tz ya 90s
Nchi zinazoweza kututisha ni nigeria , SA, Egypt, na GhanaGDP hewa isokua na msaada kwa taifa watu turakana wanakufa na njaa, miji mikubwa maji hakuna, watu wanshindwa kulipia matibabu alaf unazungumza GDP[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Jumba refu pamoja na mnara alaf no of floors 31 urefu uliobakia mnara juuu[emoji122][emoji122][emoji122]
Huyu hana hata habari Southampton inakuwa sponsored na sportpesa. Huyu kijana 99% of the time hajui anachoongea. Anaweza kuletea link bila kujua link yenyewe inasema nini. Juzi alileta link Fulani hapa about electricity access in TZ nikacheka sana baada ya kusoma link yenyewe. Huyu kwa kelele hajamboUnajua ukweli ni nini, its sponsored by sportpesa a Kenyan company, yani tumewaurumia,
Hahaha daah...Failed state gdp $100b
Kisiwa cha amani na kula kinyesi $60b
Koroshow
Stalled sgr
ATCL tukaambiwa inaanza safari za mumbai septemba mwaka jana sa tuko April 2019
Jumba refu eac lipo Nairoberry ππ
Nimeamua kuchungulia humu nikijua mtakimbilia kujiliwaza huku baada ya IMF report.
Nijibu haya maswali machachehahahaha, now Kenyans lets stop this thread i think we are now wasting our time here, we have already prove the point,
sisi tunafanya kazi, tunalipa ushuru, mbona tuendele kupoteza wakati hapa,
Soma online media zao! Wamesha anza kujipa sifa za kijinga, kwa kua Kusaga ali anza ku lunch Nai na sponsor ni Safaricom basi wana hisi ni harakati zao zimewezesha.Kwanza jua ni tamasha gani sio kesho muje kusema ilianzishwa na kenya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mm kazi yangu naeza kukulisha ww na familia yako miaka 5 mfululizo so usifkiri kila mtu yupo yupo tu humu ndaniππππEbu jione ndugu, hakuna kazi unafanya, kichwani umejaa tope la ujinga ni kama laana, this thread has lost its meaning because of people like you,
Sio a joint venture company???πππUnajua ukweli ni nini, its sponsored by sportpesa a Kenyan company, yani tumewaurumia,
Hehehe safari hii tanzania imewakamata kindakindaki hamuli wala kupumua πππHuyu hana hata habari Southampton inakuwa sponsored na sportpesa. Huyu kijana 99% of the time hajui anachoongea. Anaweza kuletea link bila kujua link yenyewe inasema nini. Juzi alileta link Fulani hapa about electricity access in TZ nikacheka sana baada ya kusoma link yenyewe. Huyu kwa kelele hajambo
Akikutajia tu nitag nasubiria alaf baadae aje atueleze iko wapi GDPπππNijibu haya maswali machache
1.Nitajie mradi mkubwa ambao serikal yenu imeufanya bila kukopa...
2.Shida iko wapi kwann northern Kenya kuna umaskini mkali sana? Hakuna lolote I maana
3.Mambo ya hasara kama rushwa kwann hayakemewi Kenya?
Tuna GDP ndogo walipa kodi wachache,izo chache tuazozipata tunazibana zinafanya maendeleo tunapokwama yunakopa...hapa mnalakujifunza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchina kawashika pabaya haijawah tokea africa upuuzi kama huoπππKenyans here are not living in denial, they are dumb and stupid because their fellow Kenyans say these things on Twitter candidly
View attachment 1067882View attachment 1067883View attachment 1067884View attachment 1067885
Ahahhaa kazi yenu kutiana umaskini kisa ardhi πππππwatanzania wamejaa uko inafaa uwaurumie juu hawana njia nyingine ya kupata pesa
Ukabila huo unawamaliza na roho mbayani watanzania wenzenu wanachoma biashara ya wenzao kisa wivu