Sure, kama ukiwashinda wenzako kwa gdp ndio unaishi kwa mateso namna hiyo, bora tufocus kwenye maendeleo hiyo gdp itapanda yenyewe.
Mara njaa, mara shida ya maji, mara hakuna bima ya afya, matatizo chungunzima
Halafu Mungiki wana takwimu za ajabu sana:
gdp kubwa kuliko ya Tz ila sasa: "njaa, maji ya shida, madeni kibao, n.k"
Curency value kubwa kuliko South Korea ( 1 Ksh = 11.23 South Korean Won) ila hawathubutu hata kujilinganisha na South Korea ambapo mtoto anahudumiwa na serikali kuanzia akiwa kijusi.
Hpo ndipo utagundua currency na gdp ya mungiki ipo kwenye makaratasi ya biashara za wazungu ambapo haiwahusu wakenya hata kidogo.
Wakenya wajitafakari na waache kujisifia vitu ambavyo havionekani kuwafaidisha hata kidogo
Mtaniwia radhi kama imewachoma, any way turudi kwenye batle yetu ya DSM vs Nairobi