tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Daah polen sana jiran zetuThis friend from university was killed on the eve of his birthday. This was his last tweet. He was one of the nicest, happiest people I’ve ever met. Rest well, Odu, nind maber. The world is better because you livedView attachment 996799
wamefikia 21 mkuu?watu 21 wamefariki,hayo matunda yametoka wapi?.
Na nizaid ya hao
Ndio maana Kiu jijiniKenya hasa nairobi imeona ukuaji mkubwa katika soko la mali, biashara, kituo cha jiji kadhalika na kadhalika. Mahitaji ya Nyumba nchini Kenya Inaendelea Kuongezeka. Sekta ya makazi nchini Kenya na hasa Nairobi inaendelea kukabiliana na kuongezeka kwa mahitaji katika vitengo vya makazi. Hii ni kutokana na idadi kubwa ya watu katika mji mkuu. Takwimu zinaonyesha mahitaji katika nyumba katika vitengo 200,000 kila mwaka.
All the way from Google translateKenya hasa nairobi imeona ukuaji mkubwa katika soko la mali, biashara, kituo cha jiji kadhalika na kadhalika. Mahitaji ya Nyumba nchini Kenya Inaendelea Kuongezeka. Sekta ya makazi nchini Kenya na hasa Nairobi inaendelea kukabiliana na kuongezeka kwa mahitaji katika vitengo vya makazi. Hii ni kutokana na idadi kubwa ya watu katika mji mkuu. Takwimu zinaonyesha mahitaji katika nyumba katika vitengo 200,000 kila mwaka.
wakitaja idadi halisi ya waliouwawa itaonekana idara za usalama nchini kenya ni dhaifu....ila kwa dunia ya sasa ni ngumu sana kuficha ukweli.





ila safari hii vyombo vyao vya usalama vimeonesha uwezo tofauti na west gatewakitaja idadi halisi ya waliouwawa itaonekana idara za usalama nchini kenya ni dhaifu....ila kwa dunia ya sasa ni ngumu sana kuficha ukweli.
View attachment 997217
fafanua ndg.ila safari hii vyombo vyao vya usalama vimeonesha uwezo tofauti na west gate
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe mbona unafuatikia sana safari za watu aisee!!wewe sio wa kwanza kuja na maoni kama hayo, thread ilianzishwa mwaka 2017, mpaka sasa ina miaka mitatu na mpaka sasa imetembelewa mara milioni nne(4 million views).
washatokea watz na wakenya wengi wenye maoni kama hayo, lakini moderator kwa kutumia hekima yake, ameyapuuza.
nina hakika, maoni yako pia yatapuuzwa.
haya rudi jukwaa la mahusiano ukaendelee kujadili kuhusu masuala ya mapenzi.
karibu tena.
View attachment 995494View attachment 995495View attachment 995496
Sasa hapo unaweza ona plate number Ya garI lako inazungumziwa kwenyetukiotwo different cars with the same kenyan number plate. haki wakenya mungu anawaona.
View attachment 997283




hakika huyo jamaa angekuwa bongo kwanza tungemkamata kwaajili ya mahojiano zaidi na mwisho wa siku asipoeleweka zaidi tungemtupia ndani acheze na nondo kidogo...
Sent using Jamii Forums mobile app