Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
aibulicha ya kwamba jeshi la kenya (kdf) lina kikosi maalumu cha kijeshi kinacho deal na special operations, wazungu wameamua kujipa credit zote zinazohu makabiliano na magaidi wa alshabab katika tukio lilitokea hivi karibuni.
na kwa jinsi inavyoonekana, kazi kubwa ilifanywa na wanajeshi wazungu toka uingereza na USA. kdf walikuwa wanang'aa sharubu na kujificha kwa uoga.
hii ndio kusema, wanajeshi wa kenya huwa wanaenda boot camp kujifunza ukora na ujinga.
acheni makomando wa jwtz wapate sifa africa, maana mziki kama huu wangeumaliza wao wenyewe bila msaada wa mzungu.
View attachment 996676View attachment 996677View attachment 996678View attachment 996679




