Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakika hapo umenena, kweli pongezi ziwaendee, uzuri wa Tanzania hua haikurupuki, tulifikia hatua ya kutengwa EAC lakini maamuzi yetu mpaka leo yana mantiki ya hali ya juu.
sasa wenyewe ndio wapi zama za kutafuta ushawishi na kujenga umoja wa kitaifa

al shabab anawauwa china nae anakatalia mkopo

na palipo na tishio la ugaidi no utalii na uwekezaji unaweza kupungua


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya ni malimbukeni, walijiona wapo level moja ya ubepari pamoja na US na NATO, wa bunge wengi wa Kenya walikataa na US iliwaahidi watakua bega kwa bega kwenye hii vita, matokeo yake wameachiwa zigo lote jumba bovu limewaangukia, alshabaab wanawauwa wakenya na wakenya wananunua silaha kwa mabilioni kushughulikia vita walioingia marekani.

Mmarekani baada ya alshabaab kuuwa wanajeshi wake mwenyewe ameamua kula kona. Hiyo kambi ni geresha tu,mtu unajenga kambi lakini pesa za silaha huna, unalishurutisha Taifa fukara kama Kenya linunue silaha unazzitengeneza wewe alafu Kenya wanaamini wapo pamoja {hahahaha}
Unachosema ni kweli ila kwa muda huu ndugu zetu hawa wanapitia wakati mgumu tuuungane nao na baada ya majanga haya labda watakuja jifunza kitu baadaye
 
hii thread ingefutwa tu naiona ya kitoto, mnapimanisha maghorofa wakati kila mji yapo na wala si kitu cha kushtusha siku hizi
wewe sio wa kwanza kuja na maoni kama hayo, thread ilianzishwa mwaka 2017, mpaka sasa ina miaka mitatu na mpaka sasa imetembelewa mara milioni nne(4 million views).

washatokea watz na wakenya wengi wenye maoni kama hayo, lakini moderator kwa kutumia hekima yake, ameyapuuza.

nina hakika, maoni yako pia yatapuuzwa.


haya rudi jukwaa la mahusiano ukaendelee kujadili kuhusu masuala ya mapenzi.

karibu tena.
IMG_20190115_195528.jpeg
IMG_20190115_195831.jpeg
IMG_20190115_195330.jpeg
 
wewe sio wa kwanza kuja na maoni kama hayo, thread ilianzishwa mwaka 2017, mpaka sasa ina miaka mitatu.

washatokea watz na wakenya wengi wenye maoni kama hayo, lakini moderator kwa kutumia hekima yake, ameyapuuza.

nina hakika, maoni yako pia yatapuuzwa.


haya rudi jukwaa la mahusiano ukaendelee kujadili kuhusu masuala ya mapenzi.

karibu tena.
View attachment 995494View attachment 995495View attachment 995496
Sasa Mtu mwenyewe kutwa kwenye mada za Umalaya unategemea nn
Umemuweza
 
Eti mpuuzi mmoja ananiijia hadi Pm
Kilicho mkuta hana hamu
Walijifanya kushoboka Mmarekani amlinde Nyani mkenya kwa lipi
sema tu vile wengine tunaongozwa sana na hekima... angekuwa mtu mwingine angemu-expose huyo aliyekujia pm kujadili upuuzi.
 
Back
Top Bottom