Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbe unachunguliaga humu,si umesusa wewe,yote kwa yote poleni sana kwa hilo tukio,wakati wa kuondoa majeshi yenu somalia ndio huu,hao wajinga shabab hawana cha kupoteza
sure, viongozi wakenya walione hili, hata kama ni wewe unaona majeshi ya jirani yako yanawakalia kwenu hata kama sio gaidi utawafadhili wafanye lolote kuwadrive out na kingine kuuwanauwana kunatengeneza visasi visivyoisha kama ilivyokua kwa palestina na israel
 
Hapa ndiyo utagundua Tofauti kati ya artist wakenya na watanzania ni wapi wenye asilimia kubwa ya utu ama ubinadamu wenye moyo wa upendo....
Pia hata kwa wananchi wa kawaida wasio maceleb napo ni hivyo hivyo

GOD BLESS TANZANIA tuzidi na tuendelee kuwa na mioyo safi

Hawa ni baadhi ya Tanzania artist wakishow love

Screenshot_2019-01-16-22-37-23_1.jpeg
View attachment 996611
Screenshot_2019-01-16-22-37-54_1.jpeg
Screenshot_2019-01-16-22-38-19_1.jpeg
Screenshot_2019-01-16-22-39-16_1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ndiyo utagundua Tofauti kati ya artist wakenya na watanzania ni wapi wenye asilimia kubwa ya utu ama ubinadamu wenye moyo wa upendo....
Pia hata kwa wananchi wa kawaida wasio maceleb napo ni hivyo hivyo

GOD BLESS TANZANIA tuzidi na tuendelee kuwa na mioyo safi

Hawa ni baadhi ya Tanzania artist wakishow love

View attachment 996612View attachment 996611View attachment 996613View attachment 996614View attachment 996615

Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi timu yangu pendwa Yanga atukua nyuma
Screenshot_20190116-153830.jpeg
 
licha ya kwamba jeshi la kenya (kdf) lina kikosi maalumu cha kijeshi kinacho deal na special operations, wazungu wameamua kujipa credit zote zinazohu makabiliano na magaidi wa alshabab katika tukio lilitokea hivi karibuni.

na kwa jinsi inavyoonekana, kazi kubwa ilifanywa na wanajeshi wazungu toka uingereza na USA. kdf walikuwa wanang'aa sharubu na kujificha kwa uoga.

hii ndio kusema, wanajeshi wa kenya huwa wanaenda boot camp kujifunza ukora na ujinga.

acheni makomando wa jwtz wapate sifa africa, maana mziki kama huu wangeumaliza wao wenyewe bila msaada wa mzungu.

IMG_20190117_003630.jpeg
IMG_20190117_003557.jpeg
skynews-nairobi-kenya-hotel-dusit-attack_4547871.jpeg
skynews-sas-kenya_4547852.jpeg
 
licha ya kwamba jeshi la kenya (kdf) lina kikosi maalumu cha kijeshi kinacho deal na special operations, wazungu wameamua kujipa credit zote zinazohu makabiliano na magaidi wa alshabab katika tukio lilitokea hivi karibuni.

na kwa jinsi inavyoonekana, kazi kubwa ilifanywa na wanajeshi wazungu toka uingereza na USA. kdf walikuwa wanang'aa sharubu na kujificha kwa uoga.

hii ndio kusema, wanajeshi wa kenya huwa wanaenda boot camp kujifunza ukora na ujinga.

acheni makomando wa jwtz wapate sifa africa, maana mziki kama huu wangeumaliza wao wenyewe bila msaada wa mzungu.

View attachment 996676View attachment 996677View attachment 996678View attachment 996679
Aisee ni dharau kubwa sana

Jamaa wanajipa 100%.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
licha ya kwamba jeshi la kenya (kdf) lina kikosi maalumu cha kijeshi kinacho deal na special operations, wazungu wameamua kujipa credit zote zinazohu makabiliano na magaidi wa alshabab katika tukio lilitokea hivi karibuni.

na kwa jinsi inavyoonekana, kazi kubwa ilifanywa na wanajeshi wazungu toka uingereza na USA. kdf walikuwa wanang'aa sharubu na kujificha kwa uoga.

hii ndio kusema, wanajeshi wa kenya huwa wanaenda boot camp kujifunza ukora na ujinga.

acheni makomando wa jwtz wapate sifa africa, maana mziki kama huu wangeumaliza wao wenyewe bila msaada wa mzungu.

View attachment 996676View attachment 996677View attachment 996678View attachment 996679
Wazungu washenzi sana. Wanatafuta kiki huku watu wanakufa.
 
Back
Top Bottom