oma tena hiyo comment yangu ya zamani kwa mara nyingine.Nimezipitia zote, hakuna inayotaja dreamliner wame-lease kutoka wapi! We Wape hiyo yakuonyesha kabisa wamiliki was hizo dreamliner ndo utawanyamazisha vizuri.😀😀
Naona unavojitoa ufaham kila unavyoniquote! Nakukumbusha TENA.
link unazoleta zinaonyesha kampuni ambazo zimekodi dreamliner KUTOKA Kenya airways.
Swali nikuwa kama Kenya airways hawazimiliki hizo dreamliner unavyosema, tuambie wamiliki ni kampuni gani?
Jiepushe na povu
Yani cha ajabu nachokiona leo kua kampuni yakwenu lakini huna ulijualo 🙂😀😀😀
Sasa moja ya sababu ya kenya airways kupata hasara kubwa ni kulease aircrafts ni moja ya sababu kasome vizuri.....😛😛😛😛😛
Alafu assignment uifanye usitoke wima tu..soma hizo links nilizoweka hapo please
https://www.google.com/url?sa=t&sou...ggbMAA&usg=AFQjCNHMVa_ygeX5OCUF6s1vLoOIt6g_4Q
https://www.google.com/url?sa=t&sou...ggfMAE&usg=AFQjCNFqhHUnlKwp_keBiK7K4W4j6WzuWA
https://www.google.com/url?sa=t&source=web&rct=j&url=/amp/s/www.jamiiforums.com/threads/plane-leasing-deals-leave-kenya-airways-with-sh4-billion-loss.1111083/%3Famp%3D1473447644&ved=0ahUKEwimv-ehxMvTAhXlLsAKHb7kCVEQFggiMAI&usg=AFQjCNE2IH9vDeGqtXrt6FLtvtkwusrhiQ
