Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

https://www.jamiiforums.com/members/ichoboy01.420069/umenifurahisha saaaana!!! Asante for information. Hichi ndo nilichokua nakomalia.... umezunguuka weeeee but mwishowe ume-deliver!! Well done kwa kweli!
Screenshot_2017-05-01-01-24-43.jpg
 
Sasa hujui kama walinunua ahahhahahaha
Hio ndio jibu nimekwambia kama walinunua cash kwa sifa mlizokua nazo dunia nzima ingejua sasa niletee official source inayosema kenya airways imenunua ndege ya aina yoyote sio tu dream liner ndege ya aina yoyote😀😀😀
Muda unao umebakiza siku moja do my assignment please🙂🙂🙂🙂
Alishindwa wanjala umekuja wewe sasa tafuta hio source kua kenya airways imenunua ndege cash ya aina yoyote 😛😛😛
Huwezi kujibu kwasabbu ukweli unaujua hahhahahahhahaha 🙂🙂🙂🙂
Hahaha ha ichoboy01 sijui ulikua busy sana unagoogle kiasi kwamba hukufatilia maongezi yalivyokua yana flow? Unakumbuka hii comment?
tempFile_2017-05-01-01-26-36.jpg
 

Attachments

  • tempFile_2017-05-01-01-26-36.jpg
    tempFile_2017-05-01-01-26-36.jpg
    136.2 KB · Views: 37
https://www.jamiiforums.com/members/ichoboy01.420069/umenifurahisha saaaana!!! Asante for information. Hichi ndo nilichokua nakomalia.... umezunguuka weeeee but mwishowe ume-deliver!! Well done kwa kweli! View attachment 503235
Nataka source kua kenya airways imenunua ndege ya aina yoyote ukinipa hio source alaf tutaendelea sasa nikufundishe mambo ya aviation😀😀😀😀😀😀
Elewa swali kwanz na hili swali umelivamia mwenyewe..alikua ajibu wanjala wewe ukalidakia hewani sasa Nipe source baba....swali ulilivamia mwenyewe sasa jibu tafadhali nataka source kua kenya airways imenunua ndege ya aina yoyote sio tu dreamliner ya aina yoyote😛😛😛
 
Swali lilikua la wanjala umelidakia wewe sasa nijibu nilichomuuliza wanjala😀😀😀😀😀😀
Alafu tuendelee sasa lakini ujibu swali ambalo umelidakia hewani
 
Kwa munavopenda sifa mnunue dreamliner dunia iisijue ahahhaahhahahahhahaha mbona SGR dunia nzima imejua kwanini wasijue mumenunua dreamliner😀😀😀😀😀😀
Sasa do my assignment iliokua ya wanjala akakimbia🙂🙂🙂🙂
 
Nataka source kua kenya airways imenunua ndege ya aina yoyote ukinipa hio source alaf tutaendelea sasa nikufundishe mambo ya aviation😀😀😀😀😀😀
Elewa swali kwanz na hili swali umelivamia mwenyewe..alikua ajibu wanjala wewe ukalidakia hewani sasa Nipe source baba....swali ulilivamia mwenyewe sasa jibu tafadhali nataka source kua kenya airways imenunua ndege ya aina yoyote sio tu dreamliner ya aina yoyote😛😛😛
Swali lilikua la wanjala umelidakia wewe sasa nijibu nilichomuuliza wanjala😀😀😀😀😀😀
Hahahahahahaaaa fatilia comment zangu dogo. ... na hili unakaza kichwa?!😀😀
Screenshot_2017-05-01-01-42-56.jpg
 
Hahahahahahaaaa fatilia comment zangu dogo. ... na hili unakaza kichwa?!😀😀View attachment 503239
Assignment niliompa wanjala kashindwa na wewe umeshindwa hahahhahahah😀😀😀😀😀😀
Kenya airways inunue dream liner cash dunia isijue labda sio ulimwengu huu hahhahahahahha🙂🙂
Nimekukamata patamu sana my friend, la msingi ni kwanzia leo ufahamu kenya airways ndege zote ni za kulease na moja ya sababu ya loss up to date, leasing aircrafts 😀😀😀
Pumzika baba....wazee wa sifa safari mumeumbuka hahahhahahahhaha
 
Hahahahahahaaaa fatilia comment zangu dogo. ... na hili unakaza kichwa?!😀😀View attachment 503239
Unachange topic hahhahahhah eti hujui kama wamenunua au wamiba hhahhahahah
Sasa kma hawajanunua watamiliki vipi iwe yakwenu au nyie ndio Boeing manufacturer 😛😛😛😛😛😛😛
Wazee wa chawapoke.......chama cha watoa povu kenya😀😀😀😀 safari hii kila sehemu mumedunda munajaribu mkijaribu lakini wapi 🙂🙂🙂🙂🙂🙂
 
Eti umesoma link za sub lease unakuja kutunisa mishipa hahhahahhaha kwanza soma uelewe maana ya sub lease , 😀😀 nyie mume lease alaf mkalease kwa another company,
Na kwanza unaijua sababu ya sub lease mliofanya ahahhahaha soma mdogo wangu au uliza kama hujui hakuna mtu atakucheka hapa
Niliwah kusema hapa mkishiriki sifa sana mtakufa masikini 🙂🙂🙂🙂
Bro kwa taarifa yako kma ulikua hujui aviation is my faculty😀😀😀😀
So karibu Sana🙂🙂🙂
 
Unachange topic hahhahahhah eti hujui kama wamenunua au wamiba hhahhahahah
Sasa kma hawajanunua watamiliki vipi iwe yakwenu au nyie ndio Boeing manufacturer 😛😛😛😛😛😛😛
Wazee wa chawapoke.......chama cha watoa povu kenya😀😀😀😀 safari hii kila sehemu mumedunda munajaribu mkijaribu lakini wapi 🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Wewe huongea sana. Ukikosa content you make up for it na a lot of rubbish talk
 
Unachange topic hahhahahhah eti hujui kama wamenunua au wamiba hhahhahahah
Sasa kma hawajanunua watamiliki vipi iwe yakwenu au nyie ndio Boeing manufacturer 😛😛😛😛😛😛😛
Wazee wa chawapoke.......chama cha watoa povu kenya😀😀😀😀 safari hii kila sehemu mumedunda munajaribu mkijaribu lakini wapi 🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Hehehe..... hapo nakupa screenshot za comment za zamani. mimi sio kama wewe kabla hujapata link ulikua unarukaruka hapakule hapakule lakini nikakutuliza
 
Eti umesoma link za sub lease unakuja kutunisa mishipa hahhahahhaha kwanza soma uelewe maana ya sub lease , 😀😀 nyie mume lease alaf mkalease kwa another company,
Na kwanza unaijua sababu ya sub lease mliofanya ahahhahaha soma mdogo wangu au uliza kama hujui hakuna mtu atakucheka hapa
Niliwah kusema hapa mkishiriki sifa sana mtakufa masikini 🙂🙂🙂🙂
Bro kwa taarifa yako kma ulikua hujui aviation is my faculty😀😀😀😀
So karibu Sana🙂🙂🙂
Wewe ungeenda shule sidhani kama ungefaulu!!! hehehe 😀... unakaza kichwa kichizi... Fatilia comment zangu toka mwanzo mimi nilichokuuliza ni wamiliki wa dreamliner hayo mengine umeongezea wewe.
 
Assignment yangu imekushinda 😀😀😀😀😀😀
Nilijua tu hahhaaha mwenzako wanjala kashindwa akakimbia ukajifanya we mjuaji sana
🙂😛😛😛😛😛
Lakini nimekupa siku mbili muda bado unao sana jitahidi usikate tamaa🙂🙂🙂
Niletee official source inayosema kua kenya airways imenunua ndege ya aina yoyote cash
🙂🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙂
 
hehehehehehe.... sina mbavu!!! Usharuruka ruka sana toka juzi nakuangali alafu mimi nakomalia swali langu last toka juzi! Yani halijabadilika. Linasoma vile vile. Wamiliki was dreamliner ni nani? Swali dogo sana siku ya tatu Leo!
Mie kweli sijui kama walinunua cash au mkopo ntajuaje labda waliiba na ndo maana sijawai kuongelea. Basi wewe unaejua wamekodi tuambie wamekodi kutoka wapi? Siku ya tatu unatafuta! Hujapata tu! Hahahahaha😀
Sema tu kama hujui lakini kama Umeona ukwepe kwa staili hiyo pia hamna shida yote maisha mdogo Wangu. Punguza povu tu......
aliyeanza kumpatia mwenzake assignment kati ya wewe na yeye ni nani?
 
aliyeanza kumpatia mwenzake assignment kati ya wewe na yeye ni nani?
Nashangaa nilimpa assignment wanjala akakimbia jamaa akadakia akafkiri jibu rahisi kumbe mtego wa Bomu sasa anaanza kukenua kenua tu na kuzuga hawezi kujibu hill swali kwasababu hawana😀😀😀
 
Hehehe..... hapo nakupa screenshot za comment za zamani. mimi sio kama wewe kabla hujapata link ulikua unarukaruka hapakule hapakule lakini nikakutuliza
Jibu huna ahahhahaha assignment ya moto 😀😀
Ndio ilimshinda wanjala hio hahhahahhaha
Ukadandia treni kwa mbele....assignment kwanza🙂🙂
 
Back
Top Bottom