Ahahahahahaha Wikipedia waongo, encyclopedia waongo, Google map waongo wote wanaionea sana kenya sijui kwanini 😀😀😀😀😀😀Kwa kiswahili fasaha :-
ambia ni mwambie,
arudishe ni akurudishie,
Na chwara ni uchwara.
You see now? Even you can't write proper Swahili. End of the day, I'm not here to show off or compete about who can write better English! What matters was you understanding the question I asked. Instead, you decided to ignore to answering the question but picked on trivial mistakes. What an idiot you are!!
Asikutishe na ndege za kulease zinazalisha hasara leo 4 yrs 😀😀😀😀The pride of Slums!!
Map of the Nairobi Metropolitan Region as
identified in research literature (UN-Habitat 2010:
168).wacha nitumie kiswahili. hapo kwenye rangi ya kijani kibichi ndipo 690 mraba imefika ila mji umepita hapo hadi wenye hiyo rangi nyekundu hiyo tunaita kwa lugha ya kimombo nairobi metropolitan mahali kiuhalisia nairobi imefika.tunapatana?
Kwani wewe ni Mzungu mpka auseme ,,tunaita"?[/QUOTE mimi si mzungu kaka ila najaribu tu kuelimisha hao wenzangu walio wagumu kuelewa
Haya basi waambie wame-lease dreamliner kutoka kampuni au airline ipi na uwape na link kabisa ukipata!Hvi wewe wanjala akili yako hua iko timamu????? Nimekwambia niletee source kua kenya airways imenunua ndege cash ya aina yoyote niletee facts hapa, ndege zote unazoziona kenya airways zote ni za kulease hakuna ndege hata moja kenya airways wamenunua cash',,,,,,,,, tuliza ubongo😀😀😀😀
Nairobbery.

ni vizuri umeleta hii picha. unaona iyo miji inaitwa kiserian kikuyu athi yote huwezi tafautisha maana majengo tupu kutoka city centre mpaka past hiyo miji hiyo ndio inaitwa metropolitan.So from now nairobi is not 696 km sq ahahhahahahhahahahah kumbe google waongo 😀😀😀😀😀😀😀😀aise leo munanipa raha sana🙂🙂🙂
View attachment 502665
Sasa hii ni argument gani? Je kama ulinunulia sifa?! IPhone sio kigezo cha kutoishiwa bundleMTU anaeza nunua iPhone hakose bundles?![]()
Tunaongelea urban city inayoeleweka na source zinavosema tena nimekupa source tatu za kimataifa zote zinasema the same thing, sasa nakuuliza zinasema uongo😀😀😀😀ni vizuri umeleta hii picha. unaona iyo miji inaitwa kiserian kikuyu athi yote huwezi tafautisha maana majengo tupu kutoka city centre mpaka past hiyo miji hiyo ndio inaitwa metropolitan.
Wanazo link kibao waliweka wenyewe😀😀😀😀Haya basi waambie wame-lease dreamliner kutoka kampuni au airline ipi na uwape na link kabisa ukipata!
Nimezipitia zote, hakuna inayotaja dreamliner wame-lease kutoka wapi! We Wape hiyo yakuonyesha kabisa wamiliki was hizo dreamliner ndo utawanyamazisha vizuri.😀😀Wanazo link kibao waliweka wenyewe😀😀😀😀