basi bro, utaua.
It does not matter...😅😅😅Aisee ungeficha hata namba basi....leo nimejua ID unayotumia JF....ile brand new Toyota Hilux iko site?
Noma sana.....Wadau basi sasa tusitukanane tena, naomba tushindane Kwa maphoto makalimakali, au veeep
SOMA WAPO HIYOOOOView attachment 990787
Sent using Jamii Forums mobile app
nilikuwa najua umepost picha za stockholm kumbe ni dar es salaam.Wadau basi sasa tusitukanane tena, naomba tushindane Kwa maphoto makalimakali, au veeep
SOMA WAPO HIYOOOOView attachment 990787
Sent using Jamii Forums mobile app



Sema hili jengo wanatuchelewesha sana mkuu.....walimalize fasta tupate new looking....
simon ni mwenzetu mkuu.Tuliza mshinonko basi
Sorry nilikuwa na mjibu mwinginesimon ni mwenzetu mkuu.
Daaaah! Tuliza mshinonko basi...😅😅😅🤣🤣🤣Aisee ungeficha hata namba basi....leo nimejua ID unayotumia JF....ile brand new Toyota Hilux iko site?
Simu aitoe wapi huyo anatumia pc ya rafiki yake.You think to make money you need to have the so called company...That can only just be a name....Wewe huna kitu jobless...Am sure hata simu unatumia itakuwa ni kati ya hizi(Techno/Infinix/Itel)
you have killed it bro.Unajua kinachowaumiza wakenya ni pale wao wanajitahidi kuweka picha nzuri za majengo, barabara, madaraja halafu watanzania wao wanaweka hizo hizo picha za barabara 12, kigamboni bridge, mkapa bridge, Terminal III, pia mnaweka Serengeti ,,ngorongoro crater, Tanzanite(one and only in the world), stigliers gorge, standard Geji, Kilimanjaro mountain, kinachowauma zaidi wakenya wanajiuliza kwanini Tanzania inapendelewa kuwa nchi pekee Africa mipaka yake ni bahari na maziwa na mbuga za wanyama,, kibaya zaidi ni pale wanapoona ktk NTV wanyama pori wao wanapofungasha virago kuja Tanzania nchi ya asali,,wakenya pambaneni na hali zenu pambaneni na mungiki
Sent using Jamii Forums mobile app





