Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

BA7B844C-4768-46EE-898F-86DA3046D889.jpeg
 
Unajua kinachowaumiza wakenya ni pale wao wanajitahidi kuweka picha nzuri za majengo, barabara, madaraja halafu watanzania wao wanaweka hizo hizo picha za barabara 12, kigamboni bridge, mkapa bridge, Terminal III, pia mnaweka Serengeti ,,ngorongoro crater, Tanzanite(one and only in the world), stigliers gorge, standard Geji, Kilimanjaro mountain, kinachowauma zaidi wakenya wanajiuliza kwanini Tanzania inapendelewa kuwa nchi pekee Africa mipaka yake ni bahari na maziwa na mbuga za wanyama,, kibaya zaidi ni pale wanapoona ktk NTV wanyama pori wao wanapofungasha virago kuja Tanzania nchi ya asali,,wakenya pambaneni na hali zenu pambaneni na mungiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua kinachowaumiza wakenya ni pale wao wanajitahidi kuweka picha nzuri za majengo, barabara, madaraja halafu watanzania wao wanaweka hizo hizo picha za barabara 12, kigamboni bridge, mkapa bridge, Terminal III, pia mnaweka Serengeti ,,ngorongoro crater, Tanzanite(one and only in the world), stigliers gorge, standard Geji, Kilimanjaro mountain, kinachowauma zaidi wakenya wanajiuliza kwanini Tanzania inapendelewa kuwa nchi pekee Africa mipaka yake ni bahari na maziwa na mbuga za wanyama,, kibaya zaidi ni pale wanapoona ktk NTV wanyama pori wao wanapofungasha virago kuja Tanzania nchi ya asali,,wakenya pambaneni na hali zenu pambaneni na mungiki

Sent using Jamii Forums mobile app
you have killed it bro.
 
Back
Top Bottom